Category: Kitaifa

1 114 115 116 117 118 191 1160 / 1905 POSTS
Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo

Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, viongozi wa kata ya Tandala, wilayani Makate Mkoa wa Njombe wametunga sheria ndogo za kuwakamata wananwake w [...]
Bilioni 100 za Samia za shusha bei ya mafuta

Bilioni 100 za Samia za shusha bei ya mafuta

Hatimaye ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye kulifanyia kazi suala la mfumuko wa bei ya mafuta imekamili [...]
Mwijaku ashinda kesi

Mwijaku ashinda kesi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 31 imemwachia huru Mwemba Burton maarufu Mwijaku ambaye alikuwa anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za n [...]
Pablo atemwa na Simba

Pablo atemwa na Simba

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo Pablo Franco Martin. Katika kipindi chake koc [...]
Sabaya bado sana

Sabaya bado sana

Hukumu ya Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake imeahirishwa hadi Juni 10, 2022,hii [...]
Maelekezo ya Rais Samia kwa Wizara ya Nishati

Maelekezo ya Rais Samia kwa Wizara ya Nishati

Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati, Felchesmi Mramba amesema Rais Samia Suluhu ameielekeza wizara hiyi kuhakikisha ujenzi wa mradi wa bomba la gesi kuto [...]
Rais Samia apongezwa na kaya masikini

Rais Samia apongezwa na kaya masikini

Wananchi mkoani Lindi jimbo la Mchinga wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na serikali ya awamu ya sita kwa ujumla jinsi anavyoonesha kwa vitendo ku [...]
Mashine za kuhesabu magari kufungwa barabarani

Mashine za kuhesabu magari kufungwa barabarani

Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), inawatangazia wananchi na wadau wote usafirishaji kuwa inaendelea na maboresho katika miundombinu ya barabara [...]
Moto wateketeza soko Temeke

Moto wateketeza soko Temeke

Soko la Vetereni lililopo Temeke, Dar es Salaam limeteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo na kuunguza vibanda vipatavyo 250 kati ya 453. Mkuu wa Mk [...]
Auawa na mumewe kwa kupigwa risasi za kichwa

Auawa na mumewe kwa kupigwa risasi za kichwa

Mwanamke maarufu jijini Mwanza aitwaye Swalha, aliyekuwa akijishughulisha na masuala ya urembo (make up artist) ameuawa kwa kupigwa na risasi na mumew [...]
1 114 115 116 117 118 191 1160 / 1905 POSTS
error: Content is protected !!