Category: Kitaifa

1 121 122 123 124 125 199 1230 / 1981 POSTS
Aomba talaka baada ya kunyimwa unyumba

Aomba talaka baada ya kunyimwa unyumba

Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Halis Mbwagolo (44) ambaye ni mkazi wa Dodoma, amemfikisha mahakamani mumewe  Denis Nyoni (49) akidai talaka b [...]
Tahadhari: Wimbi la 5 Virusi vya Corona

Tahadhari: Wimbi la 5 Virusi vya Corona

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka Watanzania wajikinge na ugonjwa wa Covid-19 kwa kuwa kuna dalili za kuingia kwa wimbi la tano la virusi vya cor [...]
Makamba atoa sababu za kutokuwepo bungeni

Makamba atoa sababu za kutokuwepo bungeni

Waziri wa Nishati January Makamba amelazimika kuomba radhi ndani ya Bunge kufuatia kusababisha bunge kusimama kwa dakika 30 asubuhi baada ya yeye na N [...]
Shisha kufanyiwa uchunguzi

Shisha kufanyiwa uchunguzi

Waziri wa Afya  Ummy Mwalimu ametoa miezi  miwili  kufanyika tathmini ya madhara ya shisha kabla ya Serikali kuchukua uamuzi ya kuipiga marufuku na ku [...]
Ahadi ya Rais Samia kwa Lissu yatimia

Ahadi ya Rais Samia kwa Lissu yatimia

Rais Samia Suluhu Hassana amekamilisha ahadi yake ya kumsaidia Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu kuweza ku [...]
Faida za kombe la dunia kupita Tanzania

Faida za kombe la dunia kupita Tanzania

Baada ya miaka nane kupita, Tanzania imepata tena bahati ya kuwa mwenyeji wa ziara ya kombe la dunia barani Afrika ikiwa miongoni mwa nchi tisa ambazo [...]
Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo

Utatoa faini mifuko 5 ya simenti ukivaa kimini au mlegezo

Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni, viongozi wa kata ya Tandala, wilayani Makate Mkoa wa Njombe wametunga sheria ndogo za kuwakamata wananwake w [...]
Bilioni 100 za Samia za shusha bei ya mafuta

Bilioni 100 za Samia za shusha bei ya mafuta

Hatimaye ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye kulifanyia kazi suala la mfumuko wa bei ya mafuta imekamili [...]
Mwijaku ashinda kesi

Mwijaku ashinda kesi

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Mei 31 imemwachia huru Mwemba Burton maarufu Mwijaku ambaye alikuwa anakabiliwa na shtaka la kusambaza picha za n [...]
Pablo atemwa na Simba

Pablo atemwa na Simba

Klabu ya Simba imefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu wa timu hiyo Pablo Franco Martin. Katika kipindi chake koc [...]
1 121 122 123 124 125 199 1230 / 1981 POSTS
error: Content is protected !!