Category: Kitaifa
Youtube ya Diamond Platnumz yadukuliwa
Msanii wa Bongo Fleva kutoka Tanzania Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wanaofuatiliwa zaidi Afrika Mashariki na mmiliki wa lebo ya Wasafi amba [...]
Gari la Rais Samia kivutio Serengeti
Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (Tanapa) imesema kwamba, baada ya filamu ya Royal Tour kuzinduliwa katika miji ya New York na Los Angeles Marekani, gari l [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 23, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Lusinde: Zitto aombe radhi
Mbunge wa Mvumi, Livingstone Lusinde maarufu kama kibajaj amemtaka Kiongozi wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe kuomba radhi kwa madai ya kumsema [...]
Historia fupi ya Mwai Kibaki kwenye siasa
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, leo Aprili 22 ametangaza msiba wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu wa nchi hiyo, Emilio Mwai Kibaki kilichotokea leo akiw [...]
Rais Samia aridhia vijiji 75 kuachwa Arusha
Waziri wa Wizara ya Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk Angeline Mabula amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia vijiji 75 vilivyokuwa katika [...]
Nauli mpya za mabasi
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (LATRA), Gilliard Ngewe amesema mchakato wa kukusanya maoni kuhusu nauli mpya za mabasi y [...]
Maagizo ya Bashungwa zuio la bodaboda Dar
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Innocent Bashungwa amemuelekeza Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe. Amos Maka [...]
MBOWE: Hatutaki fedha za ruzuku
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake hakitachukua Sh110 milioni za ruzuku ya Serikali kwa sababu kwa kufanya hivyo wata [...]
Polisi Kagera waupiga mwingi
Jeshi la Polisi mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na idara ya wanyama pori (TANAPA) limewakamata watuhumiwa 9 kwenye makosa mbalimbali ikiwemo kukutwa n [...]