Category: Kitaifa
Maneno 150 yaongezwa kwenye misamiati ya kiswahili
Baraza la Kiswahili Tanzania (BAKITA) limefanikiwa kuongeza misamiati mipya 150 kwenye Toleo la tatu la Kamusi Kuu ya Kiswahili kama hatua ya kukikuza [...]
Majaliwa awaonya wapotoshaji Ngorongoro
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa watu wanaotoa maneno ya uchochezi na kupotosha kuhusiana na suala la kuwahamisha wananchi kutoka hifadhi [...]
GSM yafunguka sakata la moto
Baada ya kiwanda cha kutengeneza magodoro cha kampuni ya GSM kilichoko Mikocheni mkoani Dar es Salaam kuungua na moto Machi 14, Mmoja kati ya wasimami [...]
Profesa Mkenda aruhusu vitabu vya ziada
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amepiga marufuku maofisa elimu kuzuia vitabu vya ziada kutumika na kuonya atakayebainika [...]
Bashungwa awala vichwa wakuu wa ugavu 23
Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa amemuelekeza Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe kuwashushwa [...]
CCM kubadili katiba Aprili 1, 2022
Katibu Mwenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka, leo Jumamosi, amesema Aprili 1, 2022, chama hicho kitafanya mkutano mkuu maalumu kwa ajili ya kufanya marekebi [...]
Tanzania kwenye ligi kuu ya Hispania
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa vilabu vya Atletico Madrid na Getafe vinavyoshiriki Ligi Kuu ya H [...]
Madadapoa wamaliza mavuno Shinyanga
Wanawake katika vijiji wilayani Shinyanga, wa,elalamika kitendo cha madadapoa maarufu 'machangudoa' kutoka mjini kwenda huko kipindi cha mavuno, kufan [...]
GSM amkalia kooni Makonda
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anadaiwa kutaka kupora nyumba ya mfanyabiashara Gharib Said Mohamed wa kampuni ya GSM.
Nyumba [...]
Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia
Vijana waendesha bajaji kutoka Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi na shukurani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Sa [...]