Category: Kitaifa

1 135 136 137 138 139 171 1370 / 1706 POSTS
Shaka amtolea uvivu Mbatia

Shaka amtolea uvivu Mbatia

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amemtaka Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuba [...]
Rais Samia: Lazima tutakopa

Rais Samia: Lazima tutakopa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema kwamba Tanzania itaendelea kukopa ili kukamilisha miradi na kuharakish [...]
Mkazi wa Mbeya ajikuta juu ya mti mkoani Masasi fofofo

Mkazi wa Mbeya ajikuta juu ya mti mkoani Masasi fofofo

Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, mkazi mmoja wa mkoani Mbeya, Saili Juma (27), amejikuta wilayani Masasi, mkoani Mtwara akiwa amelala juu ya m [...]
Wapiga dili watorosha Kontena 400 Bandarini, mamlaka yashtuka

Wapiga dili watorosha Kontena 400 Bandarini, mamlaka yashtuka

Kutokana na taarifa za awali zinadai kuwa zaidi ya Kontena 400 zimetoroshwa katika maeneo mbalimbali ya bandari kavu jijini Dar es Salaam, Kontena hiz [...]
ACT waanza mchakato ukusanyaji maoni Tume Huru Ya Uchaguzi

ACT waanza mchakato ukusanyaji maoni Tume Huru Ya Uchaguzi

Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema kuwa uongozi wa ACT Wazalendo umeiagiza ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa chama hicho kukusanya maoni ya w [...]
Zanzibar: Ajikata korodani na kuzitumbukiza chooni

Zanzibar: Ajikata korodani na kuzitumbukiza chooni

Mbarouk Abdalla mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Fuoni Wilaya ya Magharibi B, Unguja amejikata sehemu zake za siri na kuondoa korodani moja na kuitumb [...]
Rushwa yanuka TARURA, Afisa Ugavi abanwa na TAKUKURU

Rushwa yanuka TARURA, Afisa Ugavi abanwa na TAKUKURU

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohammed Mchengerwa ametoa agizo la kusimamishwa kazi kwa Afisa Ugavi M [...]
Shehena yenye sumu ya NUKLIA kuja Tanzania yakamatwa Kenya

Shehena yenye sumu ya NUKLIA kuja Tanzania yakamatwa Kenya

Serikali ya Tanzania imetoa tamko kwamba haina taarifa kuhusu shehena ya taka zenye sumu ya nuklia zilizokuwa zinasafirishwa kuletwa Tanzania. "Hat [...]
Zitto Kabwe afunguka sakata ya kuachiwa kwa Mbowe

Zitto Kabwe afunguka sakata ya kuachiwa kwa Mbowe

Hadi kufikia mwaka 2015, Tanzania ilikuwa katika hatua nzuri ya kuelekeza ukomavu wa demokrasia ya vyama vingi. Licha ya watu wengi kuonekana kuunga m [...]
UVIKO-19: Wizara ya Afya yasema kuna ongezeko la maambukizi lakini hakuna wimbi la nne

UVIKO-19: Wizara ya Afya yasema kuna ongezeko la maambukizi lakini hakuna wimbi la nne

Kufuatia kuwepo kwa mjadala kuhusu kauli ya Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kwamba Tanzania hakuna wimbi la nne la ugonjwa 'Corona' pamoja na kauli ya Kat [...]
1 135 136 137 138 139 171 1370 / 1706 POSTS
error: Content is protected !!