Category: Kitaifa
Temeke wakamilisha ‘madarasa ya Rais Samia’
Bilioni 3.14 zilizotolewa na serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan zimewezesha kukamilika kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa ya sekondari 157 katika wil [...]
Majaliwa avunja ukimya kuelekea uchaguzi 2025
Waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa amesema kuwa hana mpango wa kugombea urais katika uchaguzi wa mwaka 2025 kama ambavyo [...]
Shaka amtolea uvivu Mbatia
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka amemtaka Mwenyekiti wa Chama Cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuba [...]
Rais Samia: Lazima tutakopa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema kwamba Tanzania itaendelea kukopa ili kukamilisha miradi na kuharakish [...]
Mkazi wa Mbeya ajikuta juu ya mti mkoani Masasi fofofo
Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, mkazi mmoja wa mkoani Mbeya, Saili Juma (27), amejikuta wilayani Masasi, mkoani Mtwara akiwa amelala juu ya m [...]
Wapiga dili watorosha Kontena 400 Bandarini, mamlaka yashtuka
Kutokana na taarifa za awali zinadai kuwa zaidi ya Kontena 400 zimetoroshwa katika maeneo mbalimbali ya bandari kavu jijini Dar es Salaam, Kontena hiz [...]
ACT waanza mchakato ukusanyaji maoni Tume Huru Ya Uchaguzi
Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu amesema kuwa uongozi wa ACT Wazalendo umeiagiza ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa chama hicho kukusanya maoni ya w [...]
Zanzibar: Ajikata korodani na kuzitumbukiza chooni
Mbarouk Abdalla mwenye umri wa miaka 28 mkazi wa Fuoni Wilaya ya Magharibi B, Unguja amejikata sehemu zake za siri na kuondoa korodani moja na kuitumb [...]
Rushwa yanuka TARURA, Afisa Ugavi abanwa na TAKUKURU
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mohammed Mchengerwa ametoa agizo la kusimamishwa kazi kwa Afisa Ugavi M [...]
Shehena yenye sumu ya NUKLIA kuja Tanzania yakamatwa Kenya
Serikali ya Tanzania imetoa tamko kwamba haina taarifa kuhusu shehena ya taka zenye sumu ya nuklia zilizokuwa zinasafirishwa kuletwa Tanzania.
"Hat [...]