Category: Kitaifa

1 146 147 148 149 150 170 1480 / 1697 POSTS
Diwani ataka mabadiliko kampeni ya tohara

Diwani ataka mabadiliko kampeni ya tohara

Diwani wa Mwankulu Manispaa ya Mpanda, Kapili Katani amelalamikia kampeni inayofanywa na watoa huduma wa tohara kwa wanaume kwa kuwataka wanawake kuwa [...]
Mwalimu Mkuu akamatwa kwa udanganyifu mtihani darasa la 4

Mwalimu Mkuu akamatwa kwa udanganyifu mtihani darasa la 4

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Shimbale, Gaudensia Anyangi(45), amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Simiyu kwa tuhuma za kufanya udanganyifu katika [...]
Rugemalira arudi Mahakamani tena

Rugemalira arudi Mahakamani tena

Mfanyabiashara James Rugemalira, ameanza harakati za kufungua mashtaka dhidi ya taasisi anazozituhumu kuhusika katika wizi wa trilioni 61 za Serikali [...]
Akamatwa akiwa amemeza kete 101 za dawa za kulevya

Akamatwa akiwa amemeza kete 101 za dawa za kulevya

Jeshi la Polisi visiwani  Zanzibra linamshikilia Rashid Habib Muhsin (53) baada ya kumkamata akiwa amemeza kete 101 dawa za kulevya aina ya 'heroin'. [...]
Wafukua kaburi la mwenye ualbino na kuondoka na viungo

Wafukua kaburi la mwenye ualbino na kuondoka na viungo

Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tanga kwa madai kufukua kaburi la kijana mmoja mwenye ualbino na kutoweka na jeneza na mabaki ya m [...]
Dalali pokea simu, Dereva tumejaa

Dalali pokea simu, Dereva tumejaa

Nikiwa nimekaa kwenye kibanda cha kupaka rangi kucha maeneo ya Mwenge-Mpakani alikuja msichana mmoja aliyekuwa ameloa chapachapa kutokana na mvua kubw [...]
Mwanafunzi bora nchini na ndoto za kuwa ‘Usalama wa Taifa’

Mwanafunzi bora nchini na ndoto za kuwa ‘Usalama wa Taifa’

Eluleki Haule kutoka shule ya St Anne Marie Academy aliyeibuka kama mwanafunzi bora kitaifa kwenye matokeo ya darasa la Saba amesema ndoto yake ni kuw [...]
Watatu washikiliwa, kufukua kaburi la Albino

Watatu washikiliwa, kufukua kaburi la Albino

Jeshi la Polisi mkoani Tanga linawashikilia watu watatu wa familia moja kwa madai ya kufukua mwili wa kijana mwenye ualbino, Heri Kijangwa aliyekuwa n [...]
Mafanikio ya ziara ya Waziri January Makamba Uarabuni

Mafanikio ya ziara ya Waziri January Makamba Uarabuni

Wizara ya  Nishati imetoa taarifa kuhusu ziara iliyofanywa na Waziri January Makamba kuanzia tarehe 22 hadi 29 Oktoba 2021 katika nchi tatu (Saudi Ara [...]
Tafakuri: Rais Samia anarudia yale yale!

Tafakuri: Rais Samia anarudia yale yale!

Katika medani ya kimataifa, kila Taifa duniani lina namna yake ya kushirikiana na mataifa mengine katika kuhakikisha kuwa Taifa linapata maslahi yake. [...]
1 146 147 148 149 150 170 1480 / 1697 POSTS
error: Content is protected !!