Category: Kitaifa

1 147 148 149 150 151 170 1490 / 1697 POSTS
Milioni 10 kwa atakayempata Rubani aliyepotea

Milioni 10 kwa atakayempata Rubani aliyepotea

Shirika la Ndege la PAMS, limetangaza donge nono la shilingi milioni 10 kwa mtu atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa rubani Samwel Gibuyi [...]
Machinga Dar es Salaam wakumbushwa bado siku 1 tu

Machinga Dar es Salaam wakumbushwa bado siku 1 tu

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amesema kuwa ifikapo siku ya kesho ndio mwisho kwa wanaofanya biashara kwenye maeneo yaliyokatazwa kut [...]
Flashi yaleta mvutano kesi ya Sabaya

Flashi yaleta mvutano kesi ya Sabaya

Hapo jana kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomakabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake, kulitokea mvutano wa kisheria kuf [...]
Diwani akanusha taarifa alizopewa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga

Diwani akanusha taarifa alizopewa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga

Diwani wa kata ya Tinde wilayani Shinyanga mkoani Shinyanga, Jaffari Kanolo, amekanusha taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Sophia M [...]
Majaliwa: 2025 ni Rais Samia

Majaliwa: 2025 ni Rais Samia

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema mwaka 2025 Chama cha Mapinduzi kitampeleka Rais Samia Suluhu Hassan kwa wananc [...]
Wakurugenzi dhaifu kupelekwa kwa Rais Samia

Wakurugenzi dhaifu kupelekwa kwa Rais Samia

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Ummy Mwalimu amesema Januari mwakani atapeleka taarifa ya utendaji wa Wakurugenzi [...]
BoT yaanzisha vita na wanaotumia noti vibaya

BoT yaanzisha vita na wanaotumia noti vibaya

Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Florens Luoga ametangaza kuchukua hatua kwa watu wanaotumia vibaya noti katika shughuli za kijamii ikiw [...]
UDOM Yafunguka tuhuma za rushwa ya ngono zinazomkabili mtumishi wake

UDOM Yafunguka tuhuma za rushwa ya ngono zinazomkabili mtumishi wake

Kufuatia kuzagaa katika mitandao taarifa ya “Mwalimu” wa UDOM kutoka kimapenzi na mwanafunzi wake, soma hapa taarifa iliyotolewa na Chuo Kikuu cha Dod [...]
Wito wa Rais Samia kwa Majaji na Mahakimu

Wito wa Rais Samia kwa Majaji na Mahakimu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Majaji na Mahakimu wote kutumia kitabu kipya cha ‘Tanzania Gender Bench B [...]
Ifahamu mikoa 14 nchini hatarini kupata ukame

Ifahamu mikoa 14 nchini hatarini kupata ukame

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA), Dk. Agnes Kijazi amesema utabiriki unaonesha mikoa 14 nchini ambayo ni Mtwara, Lindi, Dodoma, [...]
1 147 148 149 150 151 170 1490 / 1697 POSTS
error: Content is protected !!