Category: Kitaifa
Siku 5 za neema toka Bodi ya Mikopo kwa wanaotaka kuongezewa na waliokosa mkopo
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Jumamosi, Novemba 6, 2021) imefungua dirisha la rufaa ili kuwawezesha waombaji ambao hawajapa [...]
Maoni ya wadau juu ya faragha ya taarifa mitandaoni
Baada ya kelele za kutaka kuwepo kwa sheria ya kulinda data nchini kuwa nyingi, wadau mbalimbali wametaka hatua za haraka zichukuliwe ili kulinda fara [...]
Jela Maisha, kumbaka mtoto wa miaka miwili
Mahakama ya Hakimu Mkazi wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, imemhukumu kifungo cha maisha jela Maduhu Tarasisi Chubwa mwenye umri wa miaka 60 mkazi wa [...]
TRC wafunguka kuhusu video ya treni inayosambaa mtandaoni
Kutokana na video inayosambaa kwa kasi mtandaoni ikionesha treni ya Shirika la Reli Tanzania kutokea Kigoma kuelekea Dodoma ikiwa imechoka kiasi cha k [...]
Wataka magari yapite kwa tozo kwenye daraja la Tanzanite
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imependekeza kwamba magari yatakayopita kwenye daraja la Tanzanite (Daraja jipya la Salenda) jiji Dar es Salaam ya [...]
Mapendekezo 4 ya Bunge kumaliza sakata la Machinga
Kutokana na zoezi la kuwaondoa wafanyabiashara wadogo (Machinga) katika maeneo yasiyo rasmi na kuwapeleka katika maeneo waliyopangiwa, Bunge la Jamhur [...]
Mwenyekiti atishia kujiuzulu kwasababu ya kutoheshimiwa
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Ngassa Mboje, ametishia kujiiuzulu nafasi hiyo kwa madai ya kutokuheshimiwa na Mkurugenzi mtendaji wa [...]
Rais Samia: Tuna kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano
Rais Samia Suluhu amesema Maalim Seif amewaachia Watanzania kazi kubwa ya kuendeleza umoja na mshikamano.
Rais Samia ameeleza hayo wakati ya Hotuba [...]
Hoteli ya nyota 5 itakayojengwa Dodoma
Jiji la Dodoma linatarajia kuwa na hoteli yenye hadhi ya nyota tano ifikapo mwaka 2024 baada ya kampuni ya 'Louvre Hotels Group' (Golden Tulip) kuweka [...]
Tumbaku chanzo cha magonjwa ya moyo
Prof. Mohamed Janabi ambaye ni Mkurugenzi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete Muhimbili (JKCI) amesema takwimu zinaonyesha kuwa watu milioni nane hup [...]