Category: Kitaifa
Upandikizaji Uboho sasa kufanyika Muhimbili
Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), imeanza rasmi upasuaji na upandikizaji wa uboho( jina la kitaalam, Bone Marrow, ni ute unaopatikana ndani ya mifup [...]
Vanessa Mdee adai kutolipwa na Standard Chartered
Aliyewahi kuwa nyota wa muziki nchini Tanzania, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money amewataka wasanii na watu maarufu nchini kuwa makini na kampuni zinazowac [...]
NHC yawashukia wadaiwa sugu
Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linatarajia kuanza kuwaondoa wapangaji wa nyumba zake ambao ni wadaiwa sugu huku kwa mujibu wa Naibu Waziri wa Wizar [...]
Tahadhari kirusi kipya cha Corona
Wizara ya Afya Tanzania imetoa tahadhari kwa Watanzania kuendelea kufuata ushauri wa wataalamu wa afya kujikinga na maambukizi ya kirusi kipya cha Cor [...]

Rais Samia atoa maelezo kuhusu wanafunzi waliojifungua kuendelea na masomo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu ametilia mkazo agizo la Waziri wa Elimu, Joyce Ndalichako kwamba wanafunzi wote waliopata ujauzi [...]
Wananchi walia kupanda bei ya gesi
Baadhi ya wananchi na wafanyabiashara wamelia na kulalamikia kuhusu kupanda kwa bei ya gesi ya kupikia nchini tangu Agosti mwaka huu, na bado sababu [...]
TAKUKURU Kuanza kufuatilia Matumizi ya Trilioni 1.3
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa umma na utawala bora, Deogratius Ndejembi ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (T [...]
Samaki aliyevuliwa kwa siri auwa 6 Zanzibar
Jumla ya watu 6 wamepoteza maisha na wengine zaidi ya 11 wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospitali ya Wilaya ya Micheweni, watu hao wabasadikika [...]
Hati ya mashtaka yanayomkabili Makonda hii hapa
Saed Ahmed Kubenea ambaye mwandishi wa habari na mwanasiasa, amewasilisha maombi ya kufungua kesi dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Pau [...]
Makonda kizimbani Desemba 3
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda anatarajia kufikishwa Kortini tarehe 3 Desemba mwaka huu katika Mahakama ya Hakim [...]