Category: Kitaifa

1 151 152 153 154 155 186 1530 / 1851 POSTS
Sababu za ACT kushiriki kikao kilichogomewa na CHADEMA

Sababu za ACT kushiriki kikao kilichogomewa na CHADEMA

Chama cha siasa cha 'Alliance for Change and Transparency' (ACT-Wazalendo) kimesema kitashiriki katika kikao cha wadau wa tasnia ya siasa kupitia Bara [...]
37 waugua na kulazwa kwa kipindupindu Nkasi

37 waugua na kulazwa kwa kipindupindu Nkasi

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Nkasi, Benjamin Chota ameotoa taarifa za kuwepo kwa ugonjwa wa kipindupindu kwani tayari watu 37 ameripotiwa kuugua na kulazw [...]
Polisi yatoa ufafanuzi nyumba ya Polepole kuvunjwa

Polisi yatoa ufafanuzi nyumba ya Polepole kuvunjwa

Kamanda Mkuu wa Jeshi la polisi mkoani Dodoma, Onesmo Lyanga amethibitisha kuwa ni kweli Humphrey Polepole alivunjiwa dirisha la nyumba anayoishi na k [...]
Rais Samia amshangaa diwani Kigamboni

Rais Samia amshangaa diwani Kigamboni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amesema anashangazwa na diwani mmoja Wilayani Kigamboni (hakumtaja), kwani diwa [...]
Rais Samia afanya uteuzi wa mabalozi

Rais Samia afanya uteuzi wa mabalozi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Ali Idd Siwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa H [...]
Askari adawa kumuua mwenzake kisa mwanamke wakiwa lindoni

Askari adawa kumuua mwenzake kisa mwanamke wakiwa lindoni

Askari Polisi Onesmo Joseph, amefariki baada ya kupigwa risasi na askari mwenzake wakiwa lindo katika Benki ya CRDB, tawi la Ruangwa mkoani Lindi. Tuk [...]
Mwanafunzi ahukumiwa kwa kutoa mimba

Mwanafunzi ahukumiwa kwa kutoa mimba

Mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Nyandeo, ambaye jina lake limehifadhiwa, amehukumiwa [...]
Marais wa nchi tofauti kuhudhuria sherehe za uhuru

Marais wa nchi tofauti kuhudhuria sherehe za uhuru

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema Marais wa nchi tano wamethibitisha kuhudhuria sherehe za miaka 60 ya uhuru wa Tanzan [...]
Polisi watolea ufafanuzi risasi zilizosikika Lumumba – Dar es Salaam

Polisi watolea ufafanuzi risasi zilizosikika Lumumba – Dar es Salaam

Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro ametolea maelezo kuhusu sintofahamu iliotokea maeneo ya Lumumba, Ilala Dar es Salaam, v [...]
Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani

Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani

Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani. Huu ni msimu wa 18 ka [...]
1 151 152 153 154 155 186 1530 / 1851 POSTS
error: Content is protected !!