Category: Kitaifa

1 161 162 163 164 165 186 1630 / 1851 POSTS
Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja

Huyu ndiye mwanzilishi wa chama kipya cha Umoja

Imebaki miaka minne kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 nchini Tanzania. Chama kipya cha siasa kilijulikano kama Umoja Party (UP) kimeibuka kuomba us [...]
Ukatili kwa waandishi wa habari wapungua

Ukatili kwa waandishi wa habari wapungua

Ofisa Programu Mwandamizi wa Baraza la Habari Tanzania (MCT), Paul Malimbo amesema matukio ya waandishi wa habari kupigwa, kunyang’anywa vifaa vyao vy [...]
EWURA yatangaza bei elekezi mafuta ya Petroli

EWURA yatangaza bei elekezi mafuta ya Petroli

Kutokana na ongezeko la bei ya mafuta ghafi tangu mwezi mei 2020 ambapo bei imeongezeka mara mbili kutoka wastani wa dola za kimarekani 32 kwa pipa mw [...]
Ushahidi wa maboksi ya fedha kwenye kesi ya Sabaya

Ushahidi wa maboksi ya fedha kwenye kesi ya Sabaya

Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imepokea video sita zilizokuwa kwenye 'flash disk' iliyowasilishwa kama ushahidi wa upande wa Jamhuri katika [...]
Diwani ataka mabadiliko kampeni ya tohara

Diwani ataka mabadiliko kampeni ya tohara

Diwani wa Mwankulu Manispaa ya Mpanda, Kapili Katani amelalamikia kampeni inayofanywa na watoa huduma wa tohara kwa wanaume kwa kuwataka wanawake kuwa [...]
Mwalimu Mkuu akamatwa kwa udanganyifu mtihani darasa la 4

Mwalimu Mkuu akamatwa kwa udanganyifu mtihani darasa la 4

Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Shimbale, Gaudensia Anyangi(45), amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoani Simiyu kwa tuhuma za kufanya udanganyifu katika [...]
Rugemalira arudi Mahakamani tena

Rugemalira arudi Mahakamani tena

Mfanyabiashara James Rugemalira, ameanza harakati za kufungua mashtaka dhidi ya taasisi anazozituhumu kuhusika katika wizi wa trilioni 61 za Serikali [...]
Akamatwa akiwa amemeza kete 101 za dawa za kulevya

Akamatwa akiwa amemeza kete 101 za dawa za kulevya

Jeshi la Polisi visiwani  Zanzibra linamshikilia Rashid Habib Muhsin (53) baada ya kumkamata akiwa amemeza kete 101 dawa za kulevya aina ya 'heroin'. [...]
Wafukua kaburi la mwenye ualbino na kuondoka na viungo

Wafukua kaburi la mwenye ualbino na kuondoka na viungo

Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Tanga kwa madai kufukua kaburi la kijana mmoja mwenye ualbino na kutoweka na jeneza na mabaki ya m [...]
Dalali pokea simu, Dereva tumejaa

Dalali pokea simu, Dereva tumejaa

Nikiwa nimekaa kwenye kibanda cha kupaka rangi kucha maeneo ya Mwenge-Mpakani alikuja msichana mmoja aliyekuwa ameloa chapachapa kutokana na mvua kubw [...]
1 161 162 163 164 165 186 1630 / 1851 POSTS
error: Content is protected !!