Category: Kitaifa

1 167 168 169 170 171 186 1690 / 1851 POSTS
Sabaya alivyowataja Magufuli na Mpango mahakamani kwenye utetezi wake

Sabaya alivyowataja Magufuli na Mpango mahakamani kwenye utetezi wake

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya leo Ijumaa tarehe 15 Oktoba amehukumiwa miaka 30 Jela kwa makosa ya Unyang’anyi wa kutumia silaha. Huk [...]
Sabaya jela miaka 30

Sabaya jela miaka 30

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wamehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la unyang’anyi wa kutumia silaha. Kabla [...]
Wasifu mfupi wa Lengai Ole Sabaya

Wasifu mfupi wa Lengai Ole Sabaya

Lengai Ole Sabaya amezaliwa 26/12/1986 mkoani Arusha. Amesoma Shahada ya Sayansi katika Elimu Chuo Kikuu cha Mtakatifu John Dodoma (St. John Universit [...]
Vigezo vya kisheria vinavyofanya eneo kupewa hadhi ya Mkoa

Vigezo vya kisheria vinavyofanya eneo kupewa hadhi ya Mkoa

Juni 2021 Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Profesa Riziki Shemdoe aliulizwa na wanahabari kuhusu suala la kuazishwa kwa Mkoa mpya wa Chato na vig [...]
Serikali kujenga chuo kikubwa cha TEHAMA nchini

Serikali kujenga chuo kikubwa cha TEHAMA nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza katika kumbukizi ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerer [...]
Sababu za serikali kutositisha Mbio za Mwenge

Sababu za serikali kutositisha Mbio za Mwenge

Rais Samia Suluhu Hassan leo ameongoza Watanzania katika kuzima Mwenge wa Uhuru pamoja na maadhimisho ya Kumbukizi ya Miaka 22 ya Kifo cha Mwalimu Jul [...]
Ahadi 6 za Rais Samia kwa wakazi wa Chato

Ahadi 6 za Rais Samia kwa wakazi wa Chato

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu amesema Serikali inakamilisha vigezo vitakavyoruhusu Wilaya ya Chato, iliyopo mkaoni Geita, kuwa mkoa. Rais Samia am [...]
Jela miaka mitano kwa kuuza albamu ya Alikiba mtaani

Jela miaka mitano kwa kuuza albamu ya Alikiba mtaani

Ofisa Mtendaji Mkuu na msimamizi wa hatimiliki kutoka Chama cha Hakimiliki Tanzania (COSOTA), Doreen Anthony Sinare amekemea vikali watu wanaouza mt [...]
Leo katika Historia: Mwl. Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania anafariki

Leo katika Historia: Mwl. Nyerere, Rais wa kwanza wa Tanzania anafariki

Hii ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha Baba wa Taifa, Hayati Mwl. Julius Kambarage Nyerere, Rais na mwasisi wa Tanzania. Nyerere alizaliwa Aprili 13 [...]
Mahakama yampa ushindi wa kwanza Jacqueline Mengi

Mahakama yampa ushindi wa kwanza Jacqueline Mengi

Mahakama ya Rufani nchini imetupilia mbali pingamizi dhidi ya maombi ya Mjane wa aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini, Marehemu Reginald Mengi, Jac [...]
1 167 168 169 170 171 186 1690 / 1851 POSTS
error: Content is protected !!