Category: Kitaifa

1 59 60 61 62 63 193 610 / 1928 POSTS
Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva

Ujenzi wa reli Tabora- Kigoma waiva

Kipande cha ujenzi wa reli ya kati Tabora- Kigoma kitagharimu dola za Marekani bilioni 2.7 sawa na shilingi trilioni 6.34. Reli hiyo ambayo mkataba [...]
Miaka 50 jela kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania

Miaka 50 jela kwa kutaka kuipindua Serikali ya Tanzania

Mahakama Kuu ya Diveshi ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imewatia hatiani watu sita, wakiwamo watatu wa familia moja na kuwahukumu kwenda jela mi [...]
Tanzania yaupiga mwingi Kombe la Dunia Qatar

Tanzania yaupiga mwingi Kombe la Dunia Qatar

Tanzania imenufaika na Michuano za Kombe la Dunia nchini Qatar kwa kuongeza mauzo ya nyama katika jimbo la Ghuba kwa mwezi mzima wa michuano hiyo. [...]
Njaa yawatesa waliokataa kuhama Ngorongoro

Njaa yawatesa waliokataa kuhama Ngorongoro

Ukame na njaa inayoendelea kuutikisa Mkoa wa Arusha na baadhi ya maeneo nchi umewafanya wananchi waliokataa kuhama kwa hiyari kutoka Bonde la Ngorongo [...]
Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere

Watu 2,300 kushuhudia ujazwaji maji Bwawa la Nyerere

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguaji wa lango la handaki mchepuko litakaloruhusu maji yaanze kujaa katika bwawa [...]
Serikali kuboresha maslahi ya wanahabari 2023

Serikali kuboresha maslahi ya wanahabari 2023

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema mwaka 2023 Serikali itaweka nguvu kubwa katika kuboresha maslahi ya waandis [...]
Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania

Benki ya Dunia yatoa mkopo wa zaidi ya bilioni 700 kwa Tanzania

Huenda tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama vijijini  likapungua nchini Tanzania baada ya Benki ya Dunia kuidhinisha mkopo wa zaidi ya Dola za [...]
Kauli ya Serikali kuhusu ongezeka bei za vyakula

Kauli ya Serikali kuhusu ongezeka bei za vyakula

Serikali imewahakikishia Watanzania kuwa hakuna maeneo yatakayokosa chakula kwa kuwa inayo hifadhi ya kutosha huku ikisisitiza kuwa, bei ya bidhaa nyi [...]
Mbegu za kiume uhifadhi virusi vya Ebola

Mbegu za kiume uhifadhi virusi vya Ebola

Mwanaume akipata ugonjwa wa Ebola na akafanikiwa kupona, anapaswa kukaa miezi sita bila kujamiiana kwa kuwa virusi vya ugonjwa huo uendelea kuishi kwe [...]
Uhalali wa matumizi ya bangi nchini

Uhalali wa matumizi ya bangi nchini

Mamlaka ya kudbihiti na Kupamabana na Dawa za Kulevya (DCEA) imesema haiwezi na haina mamlaka ya kuruhusu matumizi ya bangi nchini kwa kuwa jambo hilo [...]
1 59 60 61 62 63 193 610 / 1928 POSTS
error: Content is protected !!