Category: Kitaifa

1 59 60 61 62 63 198 610 / 1974 POSTS
Yaliyojiri maridhiano Chadema, CCM

Yaliyojiri maridhiano Chadema, CCM

Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema chama hicho kimekubaliana na Rais Samia Suluhu Hassan kurejesha Taifa katika misingi inayojenga mshikaman [...]
Karibu theluthi moja ya Watanzania hukopa

Karibu theluthi moja ya Watanzania hukopa

Nchini Tanzania, karibu theluthi moja (asilimia 31.8) ya kaya zinachukua mkopo kwa ajili ya mahitaji ya kujikimu ikiwemo chakula na malazi. ​Kwa mu [...]
Nafasi za kazi 320 TAKUKURU

Nafasi za kazi 320 TAKUKURU

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetangaza nafasi 320 za kazi kwa vijana wa Kitanzania wenye umri usiozidi miaka 30. Nafasi hiz [...]
Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar

Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar

Mamlaka ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku bidhaa aina ya Lump Sugar maarufu ‘Vipipi utamu’  vinavyodaiwa kutumiwa na baadhi ya wanaw [...]
Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania

Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania

Miradi mipya 630 ya uwekezaji inayotekelezwa na kampuni za India yenye thamani za dola 3.68 bilioni imesajiliwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kupiti [...]
Mfumuko wa bei za vyakula kushuka Machi 2023

Mfumuko wa bei za vyakula kushuka Machi 2023

Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk Albina Chuwa amesema kasi ya mfumuko wa bei za vyakula na vinywaji baridi inatarajia kupungua hadi asilimia 8.4 Machi mw [...]
Mnada wa chai kuanza, serikali yaondoa tozo

Mnada wa chai kuanza, serikali yaondoa tozo

Mnada wa zao la chai nchini unaotarajiwa kuanza kufanywa jijini Dar es Salaam mwaka huu, huku serikali ikitangaza neema kwa wakulima kwamba hautakuwa [...]
Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo

Wahadzabe, Wadatoga wapinga tozo

Jamii ya Wahadzabe na Wadatoga wanaoishi wilayani Karatu katika Mkoa wa Arusha, wametishia kuyahama makazi yao kwa kuwa halmashauri ya wilaya hiyo ime [...]
Bashe aagiza kukamatwa waliotupa parachichi

Bashe aagiza kukamatwa waliotupa parachichi

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa i [...]
Kirusi kipya cha Uviko-19

Kirusi kipya cha Uviko-19

 Ingawa si jambo linalozungumzwa sana kwa sasa, lakini wasiwasi unaendelea kuongezeka kwa wanayansi ambao wanajaribu kutafuta ufumbuzi wa kukabiliana [...]
1 59 60 61 62 63 198 610 / 1974 POSTS
error: Content is protected !!