Category: Kitaifa

1 63 64 65 66 67 209 650 / 2090 POSTS
Rais Samia chanzo cha ongezeko la uwekezaji nchini

Rais Samia chanzo cha ongezeko la uwekezaji nchini

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimetoa taarifa kuhusu mwenendo wa hali ya uwekezaji nchini katika kipindi cha miaka miwili ya uongozi wa Rais wa a [...]
Ripoti ya Pili: Mhudumu ndiye aliyefungua mlango

Ripoti ya Pili: Mhudumu ndiye aliyefungua mlango

Mapya yaibuka Ripoti ya Pili ya Taasisi ya Uchunguzi wa Ajali ya Ndege (AAIB) iliyo chini ya Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi kuhusu ajali ya ndege ya Pre [...]
Rais Samia na Waziri Majaliwa wanunua tiketi 4000 mechi ya Taifa Stars

Rais Samia na Waziri Majaliwa wanunua tiketi 4000 mechi ya Taifa Stars

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan pamoja na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wametoa tiketi 4,000, kwa ajili ya mashabiki kuingia [...]
Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN

Aweso amuwakilisha Rais Samia Mkutano wa UN

Waziri wa Maji Mhe Jumaa Hamidu Aweso anamwakilisha Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Umo [...]
Rais Samia ahimiza vijana kujiunga na kilimo

Rais Samia ahimiza vijana kujiunga na kilimo

Huenda sekta ya kilimo Tanzania ikachukua sura mpya kwa kuongeza wigo wa ajira pamoja na mchango katika pato la Taifa mara baada ya Serikali kufanya u [...]
Wafukua kaburi na kuiba sehemu za siri za marehemu

Wafukua kaburi na kuiba sehemu za siri za marehemu

Watu wasiojulikana wamefukua kaburi alipokuwa amezikwa marehemu Ruben Kasala (74) na kuondoa sehemu za siri. Mtoto wa marehemu, Frank Kasala amesem [...]
Tanzania yapeleka helikopta mbili za msaada Malawi

Tanzania yapeleka helikopta mbili za msaada Malawi

Serikali ya Tanzania imetuma helikopta mbili nchini Malawi zenye msaada wa vifaa, chakula pamoja na fedha Dola milioni moja (Sh. bil. 2.3) taslimu kwa [...]
Serikali kuendelea na maboresho ya sekta ya afya

Serikali kuendelea na maboresho ya sekta ya afya

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kununa vifaa vya matibabu ili huduma nyingi za kitabibu au matabibu bingwa zitolewe [...]
Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza

Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza

Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa Shule ya Sekondari Mwinuko kwa kosa la kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa kidato c [...]
Tanzania kuwa ghala la chakula barani Afrika

Tanzania kuwa ghala la chakula barani Afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutumia vyema fursa ya kuwa mwenyeji wa mkutano wa Jukwaa la Mfumo wa Chakula Afrika (AGRF) [...]
1 63 64 65 66 67 209 650 / 2090 POSTS
error: Content is protected !!