Category: Kitaifa

1 79 80 81 82 83 193 810 / 1930 POSTS
Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumatatu19 Sept 2022 Bonyeza Links Zifuatazo: 11 Logistics Officers at MDH HTS & HIV Prevention Servic [...]
Panya Road walivyokamatwa na Polisi

Panya Road walivyokamatwa na Polisi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema wahalifu sita wa unyang’anyi wa kutumia silaha wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa wakijaribu [...]
Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30

Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30

Daraja jipya la Wami lenye urefu wa mita 513.5 na barabara unganishi ya kilometa 3.8 litaanza kutumika Septemba 30, 2022. Akizungumza katika ziara [...]
Rais Samia amteua Prof. Janabi

Rais Samia amteua Prof. Janabi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo: Amemteua Prof. Mohamed Yakubi Janabi kuwa Mkuruge [...]
Rais Samia afanya uteuzi TIB

Rais Samia afanya uteuzi TIB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo: Amemteua Bw. Sosthenes Laurent Kewe kuwa Mwenyeki [...]
Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo

Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo

Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu cha asilimia 33 kimelenga kumkomboa mtumishi wa u [...]
Baada ya miaka 22 serikali yawalipa fidia

Baada ya miaka 22 serikali yawalipa fidia

Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mtwara (MTUWASA), imewakabidhi fedha ya fidia wananchi wapatao 50, waliokuwa wanaidai mamlaka hiyo kutokana [...]
Rais Samia alivyookoa fedha za sensa

Rais Samia alivyookoa fedha za sensa

Kamisaa Mkuu wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda  amesema msimamo wa Rais Samia Suluhu umeokoa fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika kughar [...]
Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini

Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini

Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa surua katika halmashauri saba huku watu 54 wakiwa wemethibitika kukumbwa na maradhi h [...]
Makalla: Ukimkosa mwanao nenda polisi au hospitali

Makalla: Ukimkosa mwanao nenda polisi au hospitali

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amesema Mzazi mwenye mtoto Panya Road kuanzia jana Septemba 15, 2022 asipomuona nyumbani asihangaike akamta [...]
1 79 80 81 82 83 193 810 / 1930 POSTS
error: Content is protected !!