Category: Kitaifa
Nafasi za kazi
Nafasi za Ajira Zilizotangazwa Leo Jumatatu19 Sept 2022
Bonyeza Links Zifuatazo:
11 Logistics Officers at MDH
HTS & HIV Prevention Servic [...]
Panya Road walivyokamatwa na Polisi
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limesema wahalifu sita wa unyang’anyi wa kutumia silaha wamefariki dunia baada ya kujeruhiwa wakijaribu [...]
Daraja la Wami kuanza kutumika Septemba 30
Daraja jipya la Wami lenye urefu wa mita 513.5 na barabara unganishi ya kilometa 3.8 litaanza kutumika Septemba 30, 2022.
Akizungumza katika ziara [...]
Rais Samia amteua Prof. Janabi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Prof. Mohamed Yakubi Janabi kuwa Mkuruge [...]
Rais Samia afanya uteuzi TIB
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:
Amemteua Bw. Sosthenes Laurent Kewe kuwa Mwenyeki [...]
Rais Samia apongezwa na TUCTA kufanyia kazi vikokotoo
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limesema kikokotoo kipya cha mafao ya wastaafu cha asilimia 33 kimelenga kumkomboa mtumishi wa u [...]
Baada ya miaka 22 serikali yawalipa fidia
Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mtwara (MTUWASA), imewakabidhi fedha ya fidia wananchi wapatao 50, waliokuwa wanaidai mamlaka hiyo kutokana [...]
Rais Samia alivyookoa fedha za sensa
Kamisaa Mkuu wa Sensa ya Watu na Makazi 2022, Anne Makinda amesema msimamo wa Rais Samia Suluhu umeokoa fedha nyingi ambazo zingeweza kutumika kughar [...]
Fahamu kuhusu mlipuko wa surua nchini
Serikali ya Tanzania imetangaza kuwepo kwa mlipuko wa ugonjwa wa surua katika halmashauri saba huku watu 54 wakiwa wemethibitika kukumbwa na maradhi h [...]
Makalla: Ukimkosa mwanao nenda polisi au hospitali
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla amesema Mzazi mwenye mtoto Panya Road kuanzia jana Septemba 15, 2022 asipomuona nyumbani asihangaike akamta [...]