Category: Kitaifa
TAHADHARI: Mlipuko wa Kipindupindu
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametahadharisha kuwapo mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya mikoa na kuwataka Watanzania kuzingatia usafi [...]
NMB yazindua ATM ya kubadili fedha Uwanja wa KIA
Benki ya NMB jana imezindua mashine ya kutolea fedha (ATM) ya kwanza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili [...]
Mwendeshaji mpya wa DART apatikana
Serikali inatarajia kusaini mkataba na mwendeshaji mpya wa Mradi wa Mabasi Yaendayo kwa Haraka jijini Dar es Salaam (DART) kutoka Umoja wa Nchi za Kia [...]
Namba za kupiga kuhesabiwa sensa
Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022,Mheshimiwa Anne Makinda amesema asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zilikuwa zimehesabiwa hadi kufikia asubuh [...]
CCM yapongeza jitihada za Rais Samia kuiwezesha DIT
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema Chama Cha Mapinduzi kimeridhishwa na hatua zinazochukul [...]
Maagizo ya Rais Samia kwa Kamishna Jenerali Mzee
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemtaka Kamishna Jenerali wa Magereza Mzee Ramadhan Nyamka kwenda kufanya kazi kwa [...]
Serikali kuja na bei elekezi ya mifugo
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mashimba Ndaki amesema serikali ipo kwenye mchakato wa kushirikisha wadau wa sekta ya mifugo kupanga bei elekezi za kuuzia [...]
Kosa la jinai kupiga picha na karani wa sensa
Serikali imeonya makarani wa sensa ya watu na makazi waache kupiga picha na wananchi wanapoifanya kazi hiyo.
Mtakwimu Mkuu wa Serikali, Dk Albina C [...]
Nani alipe kodi ya pango?
Kutokana na mjadala mpana unaondelea kuhusiana na kodi ya pango ya asilimia 10 inayopaswa kulipwa na wapangaji wa nyumba binafsi, Mamlaka ya Mapato [...]
Vipande vya Tanzanite vyauzwa
Mawe Makubwa Mawili ya Tanzanite moja likiwa na uzito wa kilo 3.74 na jingine likiwa na uzito wa kilo 1.48 yamepatikana ndani ya machimbo ya Tanzanite [...]