Category: Kitaifa
IGP au IJP ?
Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Habari (MAELEZO), Gerson Msigwa, ametoa ufafanuzi wa tofauti kuhusu kiswahili cha neno IGP kuwa IJP [...]
Wasifu wa Kingai
Ramadhani Kingai ameteuliwa kuwa DCI na Rais Samia Suluhu Hassan, Jumanne usiku, Julai 19,2022 akichukua nafasi ya Camilius Wamabura ambaye ameteuliwa [...]
Rais Samia na ukombozi wa mwanamke kupitia nishati safi ya kupikia
Juni 8,2021, katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma, Rais Samia Suluhu Hassan alionyesha wazi imani yake kubwa kwa wanawake na nia [...]
Uteuzi Ngorongoro
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amefanya uteuzi wa wajumbe wa Bodi Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro.
[...]
Wadau wa Bandari waomba TICTS isiongezewe mkataba
Kampuni ya Kimataifa ya huduma ya Kontena Tanzania (TICTS) inadaiwa kushindwa kutekeleza makujukumu yake na wadau wa sekta za biashara na usafirishaji [...]
Alikua anajaribu kupita magari 8
Abiria 41 waliokuwa wakisafiri na basi la Happy Nation wakitokea Dar es Salaam kuelekea Mwanza, wamenusurika katika ajali baada ya basi lao kugongana [...]
Msuya ataka katiba ipatikane haraka
Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya ameishauri Serikali kufikiria na kuona namna ya kufunga mjadala wa kupatikana Katiba mpya ili watu wajenge taifa bad [...]
Rais Samia afanya uteuzi TAWA na TALIRI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi ufuatao;
[...]
Rais Samia afanya uteuzi, Sirro awa Balozi Zimbabwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 20 Julai, 2022 amefanya uteuzi kama ifuatavyo:-
Amempandisha cheo Ka [...]
Mvua kunyesha hadi mwezi Agosti
Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema hali ya mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo ya Pwani ikiwemo jijini Dar es Salaam zitaendelea hadi [...]