Category: Kitaifa

1 88 89 90 91 92 196 900 / 1958 POSTS
Mambo yakufanya kama hautahesabiwa

Mambo yakufanya kama hautahesabiwa

Kama wewe ni miongoni mwa watu ambao hawajahesabiwa na unafikiri unaweza usipate fursa hiyo katika muda uliopangwa wa siku saba, ondoa shaka maana kil [...]
Serikali imetoa bilioni 15 ununuzi wa magari ya makanda wa polisi

Serikali imetoa bilioni 15 ununuzi wa magari ya makanda wa polisi

Serikali imetoa kiasi cha Sh bilioni 15 kwa ajili ya kununua magari ya makamanda wa polisi katika mikoa pamoja na wiliaya (OCD) ili kurahisisha utenda [...]
Karani akutwa amelewa Musoma

Karani akutwa amelewa Musoma

Watu watatu wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa kujaribu kukwamisha Sensa ya Watu na Makazi mjini Musoma. Mratibu wa Sensa wa Manispaa ya Musoma, [...]
Fahamu makao makuu ya kuku Tanzania

Fahamu makao makuu ya kuku Tanzania

Ni rasmi sasa Mkoa wa Tabora ndiyo unaoongoza kwa kuzalisha kuku wengi zaidi wa kienyeji Tanzania baada ya takwimu mpya kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwi [...]
Alichokiomba mtoto wa Simbachawene kwa hakimu

Alichokiomba mtoto wa Simbachawene kwa hakimu

Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, imemhukumu James Chawene (24), mtoto wa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu), George Simbacha [...]
Karani wa Sensa ajifungua Bunda

Karani wa Sensa ajifungua Bunda

Wakati Sensa ya Watu na Makazi ikiendelea vizuri katika Wilaya za Bunda na Rorya mkoani Mara, mmoja wa makarani wa sensa hiyo wilayani Bunda amejifung [...]
Dickson (37) atuhumiwa kumnajisi mtoto wa miaka 15

Dickson (37) atuhumiwa kumnajisi mtoto wa miaka 15

Polisi mkoani Katavi inamshikilia Ofisa Mipango Miji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mpimbwe, Dickson Mwenda (37), kwa tuhuma za kunajisi mtoto wa miaka 1 [...]
Warudisha mahari baada ya kuteseka kwenye ndoa

Warudisha mahari baada ya kuteseka kwenye ndoa

Mtendaji wa Kijiji cha Mpwayungu Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma, Selemani Kibakaya ,amesema wazazi wawili waliowaoza binti zao wenye umri wa miaka 1 [...]
Mpango: Mrema alikuwa kiongozi mkweli na mzalendo

Mpango: Mrema alikuwa kiongozi mkweli na mzalendo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango pamoja na Mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wamefika salasala Jijini Dar es salaa [...]
Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Sensa ni siku 7 tunaomba uvumilivu

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi, Anne Makinda amesema wananchi watahesabiwa kwa siku saba hivyo wananchi ambao hawakufikiwa na makarani jana wasich [...]
1 88 89 90 91 92 196 900 / 1958 POSTS
error: Content is protected !!