Category: Kitaifa

1 94 95 96 97 98 186 960 / 1855 POSTS
Rais Samia aguswa kifo cha Bi. Hindu

Rais Samia aguswa kifo cha Bi. Hindu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameguswa na kifo cha muigizaji nguli nchi na mtangazaji Chuma Selemani maarufu kama [...]
Rais Samia afanya uteuzi

Rais Samia afanya uteuzi

Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Habibu Juma Saidi Suluo kuwa Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA). Bwana Suluo [...]
Waziri wa Habari Sri Lanka ajiuzulu

Waziri wa Habari Sri Lanka ajiuzulu

Waziri wa Uchukuzi, Barabara na Vyombo vya Habari nchini Sri Lanka, Bandula Gunawardana ametangaz akujiuzulu katika nafasi hiyo ya uwaziri. Bandula [...]
TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu

TCU yafungua dirisha la udahili vyuo vikuu

Tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) imefungua dirisha la udahili kwa masomo ya shahada ya kwanza mwaka wa masomo 2022/2023, kuanzia jana Julai 8 hadi Agos [...]
Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania

Reli katikati ya maji kujengwa Tanzania

Shirika la Reli Tanzania (TRC) linafanya utafiti wa kuwa na reli katikati ya maji likiwamo la Mwanza, Arusha, Mbeya na Dodoma na kuziunganisha na viwa [...]
Nafasi za kazi

Nafasi za kazi

Nafasi za kazi mbalimbali. Bonyeza link zifuatazo 221 New FORM FOUR and Above Government Job Vacancies UTUMISHI at UDOM – Various Posts Claims A [...]
Rais wa zamani wa Angola afariki dunia

Rais wa zamani wa Angola afariki dunia

Rais wa zamani wa Angola Jose Eduardo dos Santos, ambaye alitawala nchi ya pili kwa uzalishaji mafuta barani Afrika kwa takriban miongo minne, amefari [...]
Mahakama yakubali ombi la kina Mdee

Mahakama yakubali ombi la kina Mdee

Mbunge wa Viti Maalumu, Halima Mdee na wenzake 18 wamekibwaga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) baada ya Mahakama Kuu Masijala Kuu kukubali [...]
Tanzania yapongezwa mikakati muziri ya uchanjaji

Tanzania yapongezwa mikakati muziri ya uchanjaji

Mratibu wa Kimataifa wa Mapambano dhidi ya UVIKO-19 kutoka umoja wa Mataifa Dkt Ted Chaiban ameipongeza Tanzania kwa kuendeleza mapambano dhidi ya UVI [...]
Mafuta ya kula yashuka bei

Mafuta ya kula yashuka bei

Waswahili wanasema baada ya dhiki faraja, hivyo ndivyo tunavyoweza kusema baada ya bei ya mafuta kuanza kushuka kwenye baadhi ya maeneo nchini. Bei [...]
1 94 95 96 97 98 186 960 / 1855 POSTS
error: Content is protected !!