Category: Kitaifa

1 95 96 97 98 99 193 970 / 1930 POSTS
TANZIA: Kiroboto afariki dunia

TANZIA: Kiroboto afariki dunia

Mpiga matarumbeta maarufu King Kiroboto OG amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kudondoka akiwa kwenye shoo katika Hoteli ya Giraffe, Temeke [...]
Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa

Bashungwa ashtukia upigaji wa fedha Kilosa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, (TAMISEMI) Innocent Bashungwa ameagiza uchunguzi wa haraka wa madai ya ubadhilifu w [...]
Utakayoulizwa na karani wa sensa

Utakayoulizwa na karani wa sensa

Mbali na kutaja idadi ya wanakaya, karani wa sensa atauliza kama una/ ana matatizo ya kukumbuka au kufanya kitu kwa umakini. Swali hili linataka kujua [...]
23.3% kufafanuliwa kesho

23.3% kufafanuliwa kesho

Serikali imesema Jumanne Julai 26, 2022 itakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) ili kuwasikiliza na kutoa ufafanuzi kuhus [...]
Ujumbe wa Rais Samia kwa bodaboda

Ujumbe wa Rais Samia kwa bodaboda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan amewataka waendesha bodaboda na bajaji nchini kuacha kutumika katika Vitendo vya wizi [...]
Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi

Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali itatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara iliyotoka katika mishahara ya mwezi Julai, 2022 [...]
Tanesco yasitisha mfumo wa Nikonekt

Tanesco yasitisha mfumo wa Nikonekt

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema linafanya maboresho ya mfumo wa Nikonekt kwa siku mbili leo na kesho. Taarifa ya ofisi ya uhusiano Tan [...]
TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

Kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS) kumesababisha msongamano wa makasha hayo bandari ya Dar es Sal [...]
Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa

Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa

Karani wa sensa atatakiwa kuuliza idadi ya watu wote waliolala katika kaya husika usiku wa kuamkia siku ya sensa. Atauliza majina ya watu wote waliola [...]
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]
1 95 96 97 98 99 193 970 / 1930 POSTS
error: Content is protected !!