Tag: habari kubwa za michezo

1 46 47 48 49 50 123 480 / 1222 POSTS
Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Babu Tale kuwalipia tiketi wasanii 7 waliochaguliwa kuwania tuzo za AFRIMMA

Mbunge wa Morogoro Mashariki na Meneja wa Wasanii wa muziki chini ya lebo ya WCB, Hamisi Taletale ameainisha dhamira yake ya kupambania tiketi za kuwa [...]
TCU yaongeza muda wa udahili vyuoni

TCU yaongeza muda wa udahili vyuoni

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha awamu ya nne na ya mwisho ya udahili wa wanafunzi wa elimu ya juu litakalokuwa wazi kwa muda wa si [...]
Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili

Rais Samia atoa bilioni 2.7 kwa ajili ya tiba asili

Rais Samia Suluhu Hassan, ametoa sh. Bilioni 2.7 ili zitumike kufanya utafiti katika sekta ya tiba asili nchini. Taarifa ya kutolewa kwa fedha hizo [...]
Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea ajinadi kuwa na nguvu za kiume

Mgombea wa nafasi ya mjumbe wa halmashauri ya CCM wilaya ya Dodoma amewavunja mbavu wajumbe wa mkutano mkuu wa wilaya baada ya kuwaomba wamchague kwa [...]
Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi nchini Kenya wanamtafuta kijana wa Kitanzania anayedaiwa kumua mwenzake wakigombani bakuli la ugali. Kamanda wa Polisi Kaunti ya Narok, Kizi [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG

Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG

Rais Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Taasisi za serikali kuingia mikataba bila kushirikisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais Samia [...]
Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000

Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000

Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8,000 vitakavyoweza kupokea wanafun [...]
Magazeti ya leo Septemba 28,2022

Magazeti ya leo Septemba 28,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Septemba 28,2022. [...]
1 46 47 48 49 50 123 480 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!