Tag: habari kubwa za michezo
Masomo ya Samia kwa wanaharakati
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amehudhuria na kushiriki Maadhimisho ya Miaka 10 ya Muungano wa Watetezi wa Haki za [...]
Harmonize anaendelea alipoishia
Harmonize bado anaendelea na safari yake ya kuomba msahama kwa aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja kwa kumnunulia magari mawili aina ya Range R [...]
Faida 5 za juisi ya miwa
Hali ya hewa ya joto sana na yenye unyevunyevu inaweza kusababisha matatizo makubwa ya afya, kama vile uchovu wa joto na kiharusi cha joto, na pia kud [...]
Aruhusu wanaodaiwa ada kufanya mitihani
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Tulia Ackson ameielekeza Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kutoa tamko la wanafunzi wa vyuo [...]
Ajinyonga kisa ujumbe wa ‘Tuma kwenye namba hii’
Amos Tofiri (29), mkazi wa kijiji cha Lukunguni,mkoani Morogoro amejinyonga kutokana na deni la Sh 400,000 alizokopa na akazituma kwa mtu aliyemtumia [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 13, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Tanzania na Jamaica kuimarisha ushirikiano
Serikali ya Tanzania na Jamaica zimeahidi kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano katika sekta za utalii, biashara na uwekezaji pamoja na elimu kwa masla [...]
Tathmini ya ziara za Rais Samia Suluhu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu Zuhura Yunus, ametoa na kueleza dondoo za tathmini ya ziara za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. [...]
Bei ya petroli Marekani inazidi kupaa
Jumuiya ya wenye magari ya Marekani imesema mfumuko wa bei ya mafuta nchini humo umeizidi kupaa huku galoni moja yenye uzito wa lita 3.78 iliuzwa kwa [...]
Bara la Ulaya na uhaba wa mafuta
Wakati Bara la Ulaya likikumbwa na uhaba wa mafuta ya mawese, nchi ya Malaysia inajipanga kurejesha soko hilo baada ya wanunuzi kukwepa kununua bidhaa [...]

