Tag: habari magazetini
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Februari 19,2022
Hizi hapa video zinafanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Februari 19, 2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v=j3kD [...]
Spika atoa onyo kwa mawaziri
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ametoa onyo kwa mawazari pamoja na manaibu wao kuhakikisha wanahudhuria vikao vya [...]
Neema kwa watakao hama Ngorongoro kwa hiari
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema serikali ipo tayari kulipa gharama zote kwa walio tayari kuhama kwa hiari eneo la Ngorongoro na kusisitiza wanaot [...]
TMA yatangaza ujio wa mvua kubwa
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa tahadhari ya ujio wa mvua kubwa za wastani mpaka juu ya wastani katika kipindi cha masika (Machi-Mei) kw [...]
Zanzibar kupima Uviko-19 kidigitali
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeanza kutumia teknolojia ya skana za EDE kupima Uviko-19 kwa wasafiri wanaowasili na kusafiri kupitia uwanja wa nd [...]

Tanzania kuanza kutengeneza chanjo zake za Covid-19
Rais Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inataka kuanzisha kiwanda cha kutengeneza chanjo ndani ya nchi kama sehemu ya mipango mipana ya kukabil [...]
Waziri Mkuu atoa msimamo kuhusu Ngorongoro
Waziri MKuu, Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya y [...]
Afukuliwa siku moja baada ya kuzikwa
Mwili wa marehemu, Mark Mkude mwenye umri wa miaka 67 umefufuliwa baada ya kuzikwa na na ndugu wa marehemu mwingine, Gervas Chondoma mwenye umri wa mi [...]
Hospitali ya rufaa Muhimbili yaipa heshima Tanzania kimataifa
Maabara ya hospitali ya Taifa ya Muhimbili Mloganzila imeingia katika orodha ya maabara zinazotoa huduma bora duniani baada ya kupata ithibati ya ubor [...]

Tanzania itakavyonufaika na ziara ya Rais Samia nchini Ufaransa
Mkurugenzi wa Mawasiliano-Ikulu, Bi. Zuhura Yunus alitoa taarifa siku ya jana Februari 9,2022 ikisema Rais Samia akiwa nchini Ufaransa atashuhudia uti [...]

