Tag: habari za burudani

1 8 9 10 11 12 154 100 / 1532 POSTS
Miaka mitatu ya Rais Samia madarakani

Miaka mitatu ya Rais Samia madarakani

Rais Samia Suluhu Hassan ameiadhimisha miaka yake mitatu tangu aapishwe kuwa Kiongozi wa Nchi kwa kutoa shukurani kwa salamu za heri alizopokea huku a [...]
Neema kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023

Neema kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023

Serikali imesema imefungua wigo kwa wahitimu wa kidato cha nne mwaka 2023 kubadili machaguo ya tahsusi ‘combinations’ ya kidato cha tano, kozi za vyuo [...]
Waliomuua AKA wakamatwa

Waliomuua AKA wakamatwa

Polisi wa South Africa wamethibitisha kuwakamata Washukiwa sita wa mauaji ya Rapper Kiernan Forbes maarufu AKA na kusema miongoni mwao ni ‘Mastermind’ [...]
Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Rekodi yavunjwa ongezeko la watalii wa kigeni

Mapato yanayotokana na utalii yamezidi kuongezeka kutoka Dola za Kimarekani bilioni 1.3 mwaka 2021 hadi kuvunja rekodi na kufikia Dola za Kimarekani b [...]
Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

Rais Samia awapongeza Ramadhan Brothers

Rais Samia Suluhu Hassan amewapongeza vijana wa kitanzania wanaofahamika kwa jina maarufu la Ramadhan Brothers kwa kushinda shindano la ‘America Got T [...]
Tanzania na Norway kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo

Tanzania na Norway kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo

Tanzania na Norway zimesaini Mkataba na Hati mbili za makubalino ya kuimarisha ushirikiano katika sekta ya kilimo. Mkataba na Hati hizo zimesainiwa [...]
Sera za Rais Samia zilivyoimarisha shilingi ya Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo

Sera za Rais Samia zilivyoimarisha shilingi ya Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo

Tangu aingie madarakani Machi 19, 2021 , Rais Samia Suluhu ameweza kuimarisha thamani ya shilingi ya Tanzania na kuendelea kuwa imara ikilinganishwa n [...]
TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu

TPDC yasaini mikataba ya Sh60 bilioni kuongeza umiliki wa kitalu

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeongeza mara mbili umiliki wa kitalu cha gesi asilia cha Mnazi Bay baada ya kusaini mikataba miwili [...]
Thamani ya uwekezaji yaongezeka kwa 80%

Thamani ya uwekezaji yaongezeka kwa 80%

Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesajili miradi yenye thamani ya Dola za Marekani bilioni 1.4 (karibu Shilingi trilioni 4) ndani ya miezi mitatu [...]
Rais Samia awasili Indonesia

Rais Samia awasili Indonesia

Rais Samia Suluhu Hassan alifika Jakarta leo kuanza ziara ya kiserikali nchini Indonesia. Nchi hiyo ya Kusini Mashariki mwa Asia imeendelea kuwa na uh [...]
1 8 9 10 11 12 154 100 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!