Tag: habari za burudani

1 100 101 102 103 104 154 1020 / 1532 POSTS
CHADEMA yaainisha mafanikio ya ‘Join the chain’

CHADEMA yaainisha mafanikio ya ‘Join the chain’

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Benson Kigaila ameeleza mafanikio ya programu yao ya Join the chain na kusema kwamba [...]
Ndugai kuacha siasa

Ndugai kuacha siasa

Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametangaza nia yake ya kuacha siasa ikiwamo kutogombea tena nafasi ya ubunge kat [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 9, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 9, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Hali ya Corona nchini

Hali ya Corona nchini

Wizara ya Afya inaendelea kutoa taarifa kwa umma kuhusu hali ya ugonjwa wa UVIKO-19 nchini. Itakumbukwa kuwa ugonjwa huu ulitolewa taarifa kwa mara ya [...]
Zuchu awajibu BASATA

Zuchu awajibu BASATA

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram, Msanii kutoka lebo ya Wasafi, Zuchu amewajibu BASATA kuhusu video ya wimbo wake pamoja na Diamond kufungia k [...]
WAKAZI: Wakristo tuache unafki

WAKAZI: Wakristo tuache unafki

Msanii wa Hip Hop kutoka nchini Tanzania, Wakazi ameonyesha kusikitishwa na kitendo cha TCRA kuifungia video ya wimbo wa 'Mtasubiri" ya Diamond na Zuc [...]
Kushuka kwa bei za vyakula

Kushuka kwa bei za vyakula

Huenda maumivu ya kupanda kwa bidhaa Tanzania yakapungua siku za hivi karibuni baada ya wataalam wa uchumi kueleza kuwa bei za vyakula duniani zilishu [...]
Viwango vya kubadili fedha Mei 7, 2022

Viwango vya kubadili fedha Mei 7, 2022

Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”

TCRA waifungia video ya ‘Mtasubiri”

Mamlaka ya wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeufungia video ya wimbo wa Diamond Platnumz na Zuchu ya "Mtasubiri sana' baada ya kupata taarifa kutoka Ba [...]
Sabaya aachiwa

Sabaya aachiwa

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzie wawili wameshinda rufaa waliyokata kupinga adhabu ya miaka 30 jela na kuachiwa huru. M [...]
1 100 101 102 103 104 154 1020 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!