Tag: habari za burudani
Bashungwa awala vichwa wakuu wa ugavu 23
Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Innocent Bashungwa amemuelekeza Katibu Mkuu wa TAMISEMI, Profesa Riziki Shemdoe kuwashushwa [...]
Mama G ndani ya Jua Kali ya Lamata
Mwigizaji maarufu kutoka nchini Nigeria Patience Ozokwo maarufu kama Mama G ameanza kuonekana kwenye tamthilia pendwa ya Jua Kali inayoandaliwa na Lea [...]
CCM kubadili katiba Aprili 1, 2022
Katibu Mwenezi CCM, Shaka Hamdu Shaka, leo Jumamosi, amesema Aprili 1, 2022, chama hicho kitafanya mkutano mkuu maalumu kwa ajili ya kufanya marekebi [...]
Tanzania kwenye ligi kuu ya Hispania
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt. Damas Ndumbaro amefanya mazungumzo na Uongozi wa vilabu vya Atletico Madrid na Getafe vinavyoshiriki Ligi Kuu ya H [...]
Madadapoa wamaliza mavuno Shinyanga
Wanawake katika vijiji wilayani Shinyanga, wa,elalamika kitendo cha madadapoa maarufu 'machangudoa' kutoka mjini kwenda huko kipindi cha mavuno, kufan [...]
GSM amkalia kooni Makonda
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda anadaiwa kutaka kupora nyumba ya mfanyabiashara Gharib Said Mohamed wa kampuni ya GSM.
Nyumba [...]
Bajaji Mbeya: Asante Rais Samia
Vijana waendesha bajaji kutoka Halmashauri ya Mbeya kata ya Mbalizi wametoa pongezi na shukurani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Sa [...]
Ngorongoro: Tembo aua mmoja
Mtu mmoja aliyefahamika kwa majina ya Narudwasha Titika (45), mkazi wa kijiji cha Alaitore kilichopo ndani ya Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro amefari [...]
NECTA kuja na mfumo mpya wa usahihishaji
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema mfumo mpya wa usahihishaji mitihani utaokoa shilingi milioni 550 zinazotengwa kwa [...]
Konyagi yaja na chupa ya mwanamke
Katika kusherekea Siku ya Wanawake Duniani, Kampuni ya Tanznaia Distilleries Limited, kupitia kinywaji chake cha Konyagi imezindua chpa maalumu ikilen [...]

