Tag: habari za burudani

1 54 55 56 57 58 154 560 / 1532 POSTS
Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Zuchu amshtaki Ostaz Juma TCRA

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, msanii kutoka lebo ya Wasafi ameweka wazi kwamba amemshtaki Ostaz Juma, TCRA baada ya kumdhihaki na kuongea maneno [...]
Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais Samia azidi kuwawezesha wanawake na vijana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka viongozi kutoa msaada wa kutosha kwa wajasiriamali wanawake na vijan [...]
Uber na Bolt kurejesha huduma

Uber na Bolt kurejesha huduma

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafir [...]
Bima ya afya kwa wote

Bima ya afya kwa wote

Rais Samia Suluhu amesema mkutano wa Bunge utakaoanza kesho, pamoja na mambo mengine, utapitia na kupitisha Muswada wa Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote [...]
Magazeti ya leo Septemba 12,2022

Magazeti ya leo Septemba 12,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Septemba 12,2022. [...]
Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Malkia Elizabeth alikuwa mfalme wa mitindo na darasa kwa watu wengi. Zaidi ya miaka 70 ya utawala wake amekuwa akionekana kwenye mitindo mbalimbali ya [...]
10 Septemba siku ya kuzuia kujiua

10 Septemba siku ya kuzuia kujiua

Nchini Marekani, mwezi Septemba ni maalum kuhakikisha unazuia mtu kujiua kwani wanaamini tunaishi katika nyakati ngumu hivyo mtu anaweza kuchukua maam [...]
Maambukizi ya Uviko-19 yapungua nchini

Maambukizi ya Uviko-19 yapungua nchini

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini imepungua kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kudhibiti [...]
Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth, Mkuu wa zamani wa Wales, Charles, amerithi kiti cha ufalme bila sherehe yoyote. Hata hivyo, kuna idadi ya hatua za [...]
Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

 Wakati dunia leo akiadhimisha siku ya  Kimataifa ya Kusoma na Kuandika, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema [...]
1 54 55 56 57 58 154 560 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!