Tag: habari za burudani

1 73 74 75 76 77 154 750 / 1532 POSTS
Mwongozo wa kuomba mikopo

Mwongozo wa kuomba mikopo

Bodi ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imefungua dirisha la mikopo kwa wanafunzi kwa mwaka 2022/23 na kutoa mwongozo wa namna ya kuomba mikopo. [...]
Bei ya umeme kwa uniti

Bei ya umeme kwa uniti

Waziri wa Nishati, January Makamba ametangaza Sh.1,600 kuwa bei mpya ya umeme kwa uniti, katika maeneo yanayopata huduma hiyo nje ya gridi, hasa umeme [...]
Watakaosoma Kiswahili kupewa kipaumbele mikopo

Watakaosoma Kiswahili kupewa kipaumbele mikopo

Huenda itakuwa tabasamu kwa wanafunzi wanaotarajia kusoma masomo ya lugha ikiwemo Kiswahili katika vyuo vikuu baada ya Serikali kutangaza kuyapa kipau [...]
Bingwa kuingiza watalii Tanzania

Bingwa kuingiza watalii Tanzania

Idadi ya watalii waliotembelea Tanzania miezi mitano iliyopita imeongezeka hadi kufikia 458,048 huku nchi ya Kenya ikiwa ni miongoni mwa nchi zilizoin [...]
Ugonjwa mpya Tanzania

Ugonjwa mpya Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amekiri kuwepo kwa ugonjwa usiofahamika ambao husababisha watu kutokwa damu puani n [...]
Rayvanny aondoka rasmi WCB

Rayvanny aondoka rasmi WCB

Raymond Shaban Mwakyusa maarufu kama Rayvanny, ametangaza rasmi kutoa kwenye lebo ya muziki ya Wasafi inayomilikiwa na msaani Diamond Platnumz ikiwa n [...]
Dar es Salaam jiji la 6 kwa usafi Afrika

Dar es Salaam jiji la 6 kwa usafi Afrika

Rais Samia amesema kwamba jarida la Africa Tour Magazine, limelitangaza jiji la Dar es Salaam, ni Jiji la sita kwa usafi barani Afrika, ambapo katika [...]
Pacha mmoja afariki

Pacha mmoja afariki

Pacha mmoja kati ya waliotenganishwa  Julai Mosi mwaka huu (Rehema na Neema) katika Hospitali ya Muhimbili amefariki dunia baada ya hali yake kubadili [...]
Benki ya Dunia yaipa pongezi Tanzania

Benki ya Dunia yaipa pongezi Tanzania

Benki ya Dunia imeipongeza Tanzania kwa kuamua kuwekeza kiasi kikubwa cha fedha kwenye maeneo ya uzalishaji kikiwemo kilimo, mifugo na uvuvi mambo amb [...]
Majina ya walioitwa kwenye usaili TSN

Majina ya walioitwa kwenye usaili TSN

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Magazeti ya Serikali (TSN) anapenda kuwataarifu Waombaji Kazi wote walio [...]
1 73 74 75 76 77 154 750 / 1532 POSTS
error: Content is protected !!