Tag: habari za burudani
Rais wa Bara la Afrika
Katibu Mtendaji wa Eneo HUru la Biashara Afrika (AfFCTA), Wakele Mene amesema Watanzania wanapaswa kutambua kuwa Rais Samia Suluhu Hassan si kiongozi [...]
Sh8 bilioni zatengwa kusomesha madaktari
Serikali imetenga Sh8 bilioni kwa ajili ya kusomesha madaktari na wataalamu ndani na nje ya nchi.
Imesema kati ya fedha hizo, Sh3 bilioni zitatumik [...]
Morrison arejea Yanga SC
Klabu ya Young Africans SC imetangaza rasmi kumrejesha winga wake Mghana, Bernard Morrison mwenye umri wa miaka 29 kutoka kwa watani zao Simba SC.
[...]
Chanzo cha ajali ya basi Sikonge
Majeruhi 13 kati ya 48 wa ajali ya basi la Sasebosa iliyotokea wilayani Sikonge wameruhusiwa kutoka hospitalini baada ya kupatiwa matibabu na afya zao [...]
Njia za kujikinga na kupasuka midomo na ngozi kukauka
Ni kawaida kila ifikapo mwezi Juni hadi Agosti kila mwaka, maeneo mengi nchini Tanzania kuwa na hali ya baridi na upepo.
Hivi karibuni, Kaimu Mkur [...]
Sababu ya Mabeyo kuteuliwa na Rais Samia
Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Hifadhi ya Eneo la Ngoron [...]
Fahamu madhara 5 ya kupiga nyeto
Kupiga punyeto ni jambo la kawaida. Ni njia ya asili na salama kujipatia raha ukiwa faragha.
Hata hivyo, kupiga punyeto kupita kiasi kunaweza kuat [...]
Mapacha watenganishwa salama
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili imetoa taarifa kuhusu upasuaji wa mapacha walioungana ambao leo Julai 1,2022 wamefanyiwa upasuaji wakuwatenganisha na [...]
M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy
Msanii kutoka nchini Tanzania, Billnas anayetarajia kufungua ndoa na Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi kwamba muigizaji Steve Nyerere [...]
Watalii 320 watua Zanzibar
Miaka miwili baada ya watalii kutoka nchini Italia kusitisha safari zao kwenda Zanzibar kutokana na janga la Uviko-19, safari hizo zimerejea baada ya [...]

