Tag: habari za kimataifa
TMDA: Tahadhari dawa za nguvu za kiume
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba(TMDA), imeonya kuwa watumiaji wa dawa za kuongeza nguvu za kiume pasi na maelekezo ya wataalamu wa afya wako hatarini ku [...]
Amuua baba yake baada ya kumkuta amelala na mkewe
Jeshi la Polisi mkoani Shinyanga , linamshikilia Mwandu Shija (32) mkazi wa Ndala Manispaa ya Shinyanga kwa tuhuma za kumuua baba yake mzazi, Shija Ro [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 28, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania.
[...]
Diamond kufuturisha bungeni
Msanii na Mkurugenzi Mkuu wa Wasafi Media, Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, leo Jumatano Aprili 27,2022 anatarajiya kufuturisha waheshimiwa [...]
Zamaradi: Mwijaku anaupiga mwingi
Mkurugenzi na Mmiliki wa Zamaradi TV, Zamaradi Mketema amempa pongezi mtangazaji wa redio ya Clouds, Mwijaku kwa kuwamwambia anafanya kazi nzuri sana [...]
Ishara kuwa hana mpango na wewe
Kabla ya kujiingiza kwenye mahusiano kwaajili ya kuanza maisha na mtu, ni muhimu kujua ni mtu wa aina gani unamtaka na kujua wakati gani wa kuachana n [...]
Baba amnajisi mtoto wa miezi 11
Kamanda wa Polisi mkoani Tanga, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio la mtoto wa miezi 11 kunajisiwa na baba yake wa kambo anayeishi eneo la Am [...]
Viwango vya kubadili fedha Aprili 27, 2022
Fahamu viwango elekezi vya kubadili fedha za kigeni nchini Tanzania leo kulingana na maelekezo ya Benki Kuu ya Tanzania. [...]
Shmurda kutoshiriki ngono miezi 6
Rapa maarufu duniani Bobby Shmurda amepata tatizo kwenye uume wake lililopelekea rapa huyu kupewa masharti makali na daktari wake. Bobby ameambiwa asi [...]
Rais Samia aachia huru wafungwa 3826
Katika kuadhimisha Miaka 58 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Rais Samia Suluhu Hassan amewasamehe wafungwa wapatao 3,826 kwa masharti mbalimbali [...]