Tag: habari za kimataifa
Zimwi la Mto Yala lazidi kuua, laondoka na kigogo
Mwili wa Mkaguzi Mkuu wa Huduma ya Wanyamapori ya Kenya (KWS) wakutwa kati ya vifurushi vilivyookolewa Mto Yala.
Wananchi wa Kenya wazidi kuililia [...]
Mbowe: Niliyoteta na Rais
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amewaeleza na kuweka wazi waandishi wa habari mambo makuu matatu aliyozungumz [...]
MGM yaungana na Amazon studios
Amazon imefunga rasmi jana Mach 17,2022 mkataba wake wakuinunua kampuni ya MGM kwa kiasi cha fedha dola bilioni 8.5 na kusema kwamba hakuna mfanyakaz [...]
Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato
Rais Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Chato mkoani Geita kwamba miradi iliyopangwa itakamilishwa ikiwemo kivyuko cha Chato cha ‘Hapa Kazi Tu [...]
Brazen: Maneno yenye uhalisia
Filamu ya “Brazen” inamuhusu mwanamama Grace Miller ambaye ni nyota maarufu wa vitabu vya simulizi nchini Marekani. Simulizi zake zilizobeba visa vya [...]
Historia imeandikwa Kituo cha Afya Masasi
Kwa muda mrefu wananchi wa wilaya ya Masasi kata ya Chikundi wamekuwa wakiishi na changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za afya katika maeneo ya k [...]
Insta yamfungia Kanye: apanga kuja na mtandao wake
Kampuni ya Meta imemfungia rapa Kanye West "Ye" kutopost kwa saa 24 kuanzia jana Machi 16 baada ya rapa huyo kupost picha ya mchekeshaji Trevor Noah n [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli
Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 16,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 16,2022. Husikubali kupitwa
https://www.youtube.com/watch?v=njxSViO [...]
Mike Tyson na Bangi za pipi
Mwanamasumbwi kutoka nchini Marekani Mike Tyson amezindua aina mpya za bangi za pipi ambazo zipo kwenye umbo la sikio la binadamu alizozipa jina la 'M [...]