Tag: habari za kimataifa

1 151 152 153 154 155 171 1530 / 1707 POSTS
Ataka kujiua kisa matokeo ya kidato cha nne

Ataka kujiua kisa matokeo ya kidato cha nne

Kijana mwenye umri wa miaka 17 kutoka Zanzibar amenusurika kifo baada ya kunywa mafuta ya Taa January 15 mwaka huu baada ya kupata matokeo mabaya ya k [...]
Mahakama yaja na teknolojia ya akili bandia

Mahakama yaja na teknolojia ya akili bandia

Akizungumzia kuhusu wiki ya siku ya sheria na siku ya Sheria, Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma amesema kuwa, ili kuhakikisha mhimili  wa Ma [...]
Mrithi wa panya Magawa apatikana

Mrithi wa panya Magawa apatikana

Baada ya kifo cha panya Magawa hatimaye mrithi wake amepatikana anafahamika kwa jina la Renin ambapo taarifa zinasema tayari yupo nchini Cambodia kuen [...]
Mfahamu John Okello aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar

Mfahamu John Okello aliyeshiriki Mapinduzi ya Zanzibar

John Gideon Okello ni raia wa Uganda aliyeshiriki katika Mapinduzi yaliyoitoa Zanzibar kutoka kwenye minyororo ya utawala wa Waarabu. Alizaliwa  mw [...]
‘Wagonga wanafunzi’ wafungiwa kamera

‘Wagonga wanafunzi’ wafungiwa kamera

Baada ya kuwepo kwa idadi kubwa ya wanafunzi kugongwa na magari na kupoteza maisha katika Barabara kuu ya Dodoma - Dar es Salaam, Halmashauri ya Chamw [...]
Mpoto alia na waimba “amapiano” Tanzania

Mpoto alia na waimba “amapiano” Tanzania

Mshairi nguli kutoka nchini Tanzania Mrisho Mpoto maarufu kwa jina la ‘Mjomba’ amefunguka na kuweka wazi kwamba anasikitishwa na namna baadhi ya wasan [...]
Pepsi na Coca Cola zaadimika mtaani

Pepsi na Coca Cola zaadimika mtaani

Baadhi ya wafanyabiashara jiji Dar es Salaam wamesema kwamba soda zinazotengenezwa na kampuni za  Pepsi na Coca Cola zimeadimika kwa muda sasa tangu D [...]
Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya

Mbaroni kwa kutaka kuuza ardhi ya Rais wa Kenya

Watu wanne wamewekwa kizuizini na mahakama ya Nairobi kwa shutuma za kupanga njama za kuuza ardhi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta huko Karen nchini h [...]
NIDA yawasihi wananchi kufuata vitambulisho vyao

NIDA yawasihi wananchi kufuata vitambulisho vyao

Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imewataka wale wote ambao bado hawajachukua vitambulisho vyao kwenda kwenye ofisi husika na kuchukua kwani [...]
KFC Kenya kuanza kuuza ugali baada ya kuishiwa viazi vya ‘chipsi’

KFC Kenya kuanza kuuza ugali baada ya kuishiwa viazi vya ‘chipsi’

Mwanzoni mwa mwaka 2022 KFC Kenya ilipata changamoto ya kuishiwa kwa viazi wanavyotumia kuandaa ‘chipsi’ na kufanya wengi kujiuliza kwanini wanashindw [...]
1 151 152 153 154 155 171 1530 / 1707 POSTS
error: Content is protected !!