Tag: habari za kimataifa
Fahamu sababu za kutokwa na damu puani
Kutokwa na damu puani ni hali inayotokea watu wengi hasa wakati wa utoto na uzee. Damu hii hutoa kwenye kuta za ndani za pua. Kuta hizi zimejaa miship [...]
Ugonjwa mpya Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amekiri kuwepo kwa ugonjwa usiofahamika ambao husababisha watu kutokwa damu puani n [...]
Rayvanny aondoka rasmi WCB
Raymond Shaban Mwakyusa maarufu kama Rayvanny, ametangaza rasmi kutoa kwenye lebo ya muziki ya Wasafi inayomilikiwa na msaani Diamond Platnumz ikiwa n [...]
Pacha mmoja afariki
Pacha mmoja kati ya waliotenganishwa Julai Mosi mwaka huu (Rehema na Neema) katika Hospitali ya Muhimbili amefariki dunia baada ya hali yake kubadili [...]
Magazeti ya leo Julai 12,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 12,2022.
[...]
Waziri Mkuu asimamisha kazi watumishi 9
Waziri Mkuu wa, Kassim Majaliwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam, Jumanne Shauri na watumishi wengine tisa wa jij [...]
Aagiza shule zifunge CCTV
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amezielekeza shule zote za sekondari ndani ya Jiji la Dodoma kufunga kamera za usalama (CCTV) kusaidia kubaini w [...]
Waliohamia Msomera waendelea kuwezeshwa
Wananchi wa kaya 104 waliohamia Kijiji cha Msomera wilayani Handeni wakitokea Hifadhi ya Ngorongoro wamepatiwa vyandarua vitatu kwa kila nyumba sambam [...]
Rais Samia afanya uteuzi
Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Bw. Habibu Juma Saidi Suluo kuwa Mkurungenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA).
Bwana Suluo [...]
Waziri wa Habari Sri Lanka ajiuzulu
Waziri wa Uchukuzi, Barabara na Vyombo vya Habari nchini Sri Lanka, Bandula Gunawardana ametangaz akujiuzulu katika nafasi hiyo ya uwaziri.
Bandula [...]