Tag: juma jux

1 28 29 30 31 32 57 300 / 564 POSTS
Kikokotoo cha zamani hakirudishwi

Kikokotoo cha zamani hakirudishwi

Serikali imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa fedha wanazopata w [...]
Bandari ya Mtwara yapeleka tani 15,800 za korosho Vietnam

Bandari ya Mtwara yapeleka tani 15,800 za korosho Vietnam

Siku ya jana Juni 22, 2022 imekuwa ya neema kwa wakazi wa Mtwara na maeneo ya jirani kwa sababu Meli Iliyobeba Korosho Tani elf 15,800 imeondoka Katik [...]
Tanzania yateuliwa kuwa Mjumbe Baraza la Amani na Usalama AU

Tanzania yateuliwa kuwa Mjumbe Baraza la Amani na Usalama AU

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeteuliwa kuwa mjumbe wa Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika kupitia kanda ya Mashariki kwa kipindi cha mia [...]
Naomi Osaka kuzindua kampuni ya Hana Kuma

Naomi Osaka kuzindua kampuni ya Hana Kuma

Mchezaji wa tenisi kutoka nchini Japan, Naomi Osaka anatarajia kuzindua chombo chake cha habari alichokipa jina la ‘Hana Kuma’ akishirikiana na bingwa [...]
Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba

Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba

Maandalizi ya Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Sabasaba yamekamilika kwa asilimia 95, na nchi 20 ikiwemo Marekani zimethibiti [...]
Simba kumuaga Wawa

Simba kumuaga Wawa

Klabu ya Simba imeamua kuacha na beki wake wa kati raia wa Ivory Coast Pascal Wawa baada ya mkataba wake kumalizika kwenye klabu hiyo yenye makazi yak [...]
Njia rahisi ya kuondoa mba

Njia rahisi ya kuondoa mba

Kuweka ngozi ya kichwa chako ikiwa na unyevu, kuisafisha mara kwa mara na kutumia shampoo na kuosha nywele zako mara kwa mara ndiyo njia sahihi ya kut [...]
Morocco petroli Sh11,428 na dizeli Sh10,158

Morocco petroli Sh11,428 na dizeli Sh10,158

Bei ya mafuta ya petroli ilipanda na kufikia kiwango cha juu zaidi nchini Morocco siku ya Alhamisi, na hivyo kuzua hasira miongoni mwa vyama vya wafan [...]
Dereva alifariki kabla basi kupinduka

Dereva alifariki kabla basi kupinduka

Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, George Kyando amesema dereva wa basi la Kampuni ya Zuberi, Hamza Haule, alifariki kabla ya basi hilo halijaanguka [...]
Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani

Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani

Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la God Sawe anatafutwa kwa kosa la kumuua mke wake Ester juzi saa 12.30 jioni kwa kumlima na jembe kichwa kisha kukim [...]
1 28 29 30 31 32 57 300 / 564 POSTS
error: Content is protected !!