Tag: juma jux
Jaji Mgeta: Waziri Mkuu alichana uamuzi wa Mahakama
Jaji mstaafu John Mgeta amesema changamoto iliyomuumiza katika kutekeleza majukumu yake ni kitendo cha aliyekuwa Waziri Mkuu, kudharau uamuzi wa mahak [...]
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku.
Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
Rais Samia arejesha nyongeza za mishahara
Rais Samia Suluhu Hassan amerejesha utaratibu wa nyongeza ya mshahara kwa watumishi wa umma ya kila mwaka ambao ulisitishwa kwa muda mrefu na ameahidi [...]
Rais Samia Suluhu mfanyakazi bora
Wakati leo ni sikukuu ya Wafanyakazi duniani, Umoja wa Wanawake Wanasiasa Tanzania (ULINGO), umempatia Tuzo Rais Dk. Samia Suluhu Hassan, ya kuwa mfan [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376
Wafungwa 376 watanufaika na msamaha huu ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki [...]
Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipa [...]
Yanayosubiriwa Mei Mosi mwaka huu
Ikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yapo mambayo kadhaa yakajitokeza katika sherehe z [...]
MV Mwanza kufanya safari za Kenya na Uganda
Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imesema meli ya kisasa ya Mv Mwanza Hapa Kazi Tu itaanza kufanya safari za Uganda na Kenya katika ziwa Victoria baada ya [...]
Waliobaki Ngorongoro waomba kupelekwa Msomera
Wananchi wanaoishi katika Kijiji cha Kipenjiro, Kata ya Naiyobi katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, wameomba serikali iharakishe mchakato wa kuwaha [...]
Bandari ya Mtwara yaanza kusafirisha makasha
Bandari ya Mtwara Mkoani Mtwara imezindua huduma ya meli ya kusafirisha makasha. Huduma hizo zimezinduliwa leo Aprili 20, 2023 na Naibu Waziri wa Ujen [...]