Tag: nafasi za kazi

1 65 66 67 68 69 81 670 / 804 POSTS
Faru Rajabu afariki

Faru Rajabu afariki

Shirika la Hifadhi ya Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa kuhusu kifo cha Faru Rabaju aliyefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na mia [...]
Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa

Waliofariki ajali ya Morogoro kulipwa

Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (Tira) imesema waathirika wote wa ajali iliyotokea mkoani Morogoro hivi karibuni na kusababisha vifo vya watu 23 [...]
Mama Janeth Magufuli atoa misaada

Mama Janeth Magufuli atoa misaada

Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli, amesema ataendeleza utamaduni waliyojiwekea yeye na marehemu m [...]
MGM yaungana na Amazon studios

MGM yaungana na Amazon studios

Amazon imefunga rasmi jana Mach 17,2022 mkataba wake wakuinunua kampuni ya MGM kwa kiasi cha fedha dola bilioni 8.5  na kusema kwamba hakuna mfanyakaz [...]
Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato

Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato

Rais Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Chato mkoani Geita kwamba miradi iliyopangwa itakamilishwa ikiwemo kivyuko cha Chato cha ‘Hapa Kazi Tu [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli

Mwaka Mmoja bila Magufuli

Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Rais Samia: Hii ndio Tanzania ninayoitaka

Rais Samia: Hii ndio Tanzania ninayoitaka

Rais Samia Suluhu Hassan anatimiza mwaka mmoja tangu achukue madaraka ya nchi, pamoja na maendeleo anayosimamia amebainisha mikakati yake muhimu na Ta [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 16,2022

Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Machi 16,2022

Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Machi 16,2022. Husikubali kupitwa https://www.youtube.com/watch?v=njxSViO [...]
LHRC yalaani mauaji kigoma

LHRC yalaani mauaji kigoma

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimelaani tukio lililopelekea kifo cha Juma Ramadhani (35) kilichotokea tarehe 14, Machi 2022 katika uwanj [...]
Mike Tyson na Bangi za pipi

Mike Tyson na Bangi za pipi

Mwanamasumbwi kutoka nchini Marekani Mike Tyson amezindua aina mpya za bangi za pipi ambazo zipo kwenye umbo la sikio la binadamu alizozipa jina la 'M [...]
1 65 66 67 68 69 81 670 / 804 POSTS
error: Content is protected !!