Tag: Tozo
Kiswahili lugha ya biashara Afrika
Wakati nchi wanachama wa jumuiya hiyo wakikutana leo Zanzibar katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kiswahili duniani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Af [...]
Fedha za Uviko zaingiza shule 10 bora
Ilikua vigumu sana kwa watu wengi kuelewa uamuzi uliochukuliwa na Rais Samia Suluhu juu ya fedha za mkopo zilizotolewa na IMF za mapambano dhidi ya Uv [...]
Njia za kujikinga na kupasuka midomo na ngozi kukauka
Ni kawaida kila ifikapo mwezi Juni hadi Agosti kila mwaka, maeneo mengi nchini Tanzania kuwa na hali ya baridi na upepo.
Hivi karibuni, Kaimu Mkur [...]
M/Kiti kamati ya harusi ya Billnas na Nandy
Msanii kutoka nchini Tanzania, Billnas anayetarajia kufungua ndoa na Faustina Mfinanga maarufu kama Nandy, ameweka wazi kwamba muigizaji Steve Nyerere [...]
Maombi kwa mapacha
Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kufanya upasuaji mkubwa wa kutenganisha watoto pacha waliozaliwa wameungana sehemu ya kifua, tumbo na ini (lak [...]
Tanzania mwenyeji tuzo za MTV Africa 2023
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Mohamed Mchengerwa amekutana na kufanya mazungumzo na makamu wa Rais na meneja mkuu wa Paramount Africa and [...]
Kikokotoo cha zamani hakirudishwi
Serikali imesema haitarudisha kikokotoo cha zamani cha mafao ya wastaafu cha asilimia 50, kwa kuwa hakileti usawa katika ugawaji wa fedha wanazopata w [...]
Oman kujenga Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro
Hatimaye ziara ya siku tatu nchini Oman iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeanza kuzaa matunda baada ya Viwanja vya ndege Muscat kutia saini ya [...]
Njia rahisi ya kuondoa mba
Kuweka ngozi ya kichwa chako ikiwa na unyevu, kuisafisha mara kwa mara na kutumia shampoo na kuosha nywele zako mara kwa mara ndiyo njia sahihi ya kut [...]
Zanzibar ndani ya Ligi Kuu ya Uingereza
Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Ali Mwinyi akutana na kufanya mazungumzo na timu ya Masoko ya Klabu ya Southampton ya Ligi Kuu ya Uingereza.
Wamefanya [...]

