Tag: Tozo
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku.
Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376
Wafungwa 376 watanufaika na msamaha huu ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki [...]
Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipa [...]
Yanayosubiriwa Mei Mosi mwaka huu
Ikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yapo mambayo kadhaa yakajitokeza katika sherehe z [...]
Waliobaki Ngorongoro waomba kupelekwa Msomera
Wananchi wanaoishi katika Kijiji cha Kipenjiro, Kata ya Naiyobi katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, wameomba serikali iharakishe mchakato wa kuwaha [...]
Afariki dunia baada kunywa pombe bila kula
Asia Eliya (24), Mhudumu wa baa Nyemo amefariki dunia kwa madai ya kunywa pombe kupita kiasi bila kula chakula.
Mwenyekiti wa Mtaa wa Picha ya Ndeg [...]
Rais Samia atoa kibali cha ajira kwa watumishi 21,200
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameridhia kibali cha kuajiri watumishi 21,200 wa Kada za Ualimu na Afya.
Idad [...]
Wilaya 64 kujengwa vyuo vya ufundi stadi
Serikali imesema imetenga Sh bilioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa vyuo vya ufundi stadi, katika wilaya 64 ambazo zilikuwa hazijajengewa vyuo hivyo.
A [...]
Maana ya ujio wa Kamala nchini
Kwa mara ya kwanza, Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani atakanyaga ardhi ya Tanzania kesho Machi 29.
Safari yake ina umuhimu mkubwa kwa Tanza [...]
Afariki kwa kuangukiwa na jiwe akifanya adhabu baada ya kushindwa kuongea kiingereza
Jeshi la polisi mkoani Mwanza linawashikilia walimu wawili wa Shule ya Sekondari Mwinuko kwa kosa la kusababisha kifo cha mwanafunzi mmoja wa kidato c [...]

