Tag: trending videos
Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali
Polisi nchini Kenya wanamtafuta kijana wa Kitanzania anayedaiwa kumua mwenzake wakigombani bakuli la ugali.
Kamanda wa Polisi Kaunti ya Narok, Kizi [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor
Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
Royal Tour Tanzania yazinduliwa nchini Sweden
Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake uliopo Sweden imezindua filamu ya Royal Tour jijini Stockholm kwa lengo la kuwavutia watalii kutembelea vivu [...]
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG
Rais Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Taasisi za serikali kuingia mikataba bila kushirikisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Rais Samia [...]
Tanzania na Falme za Kiarabu zasaini mkataba kuondoa utozaji kodi mara mbili
Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimesaini makubaliano ya kuondoa utozaji kodi mara mbili, wadau wametoa maoni tofauti kuhusu faida na hasa [...]
Kapu la Mama latema bil.160 ujenzi wa madarasa 8,000
Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia kutoa kiasi cha Shilingi Bilioni 160 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa 8,000 vitakavyoweza kupokea wanafun [...]
Bilioni 700 kuwafikishia umeme walio nje ya gridi ya Taifa
Huenda idadi ya Watanzania wanaotumia umeme ya gridi ya Taifa ikaongezeka siku za hivi karibuni baada ya Benki ya Dunia kutoa ufadhili kwa ajili kupel [...]
Historia yaandikwa Hospitali ya Rufaa ya Kanda Mtwara
Huduma za kibingwa za Taasisi ya tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) zimeanza kutolewa katika hospitali mpya na ya kisasa ya rufaa ya kanda kusini Mtwara a [...]
Masharti 7 ya Samia Scholarship
Serikali imetangaza masharti saba kwa wanafunzi watakaoomba kunufaika na ufadhili (Samia Scholarship), ikiwemo kuhakikisha kuwa kiwango cha ufaulu hak [...]