Author: Cynthia Chacha

1 118 119 120 121 122 270 1200 / 2700 POSTS
Rais Samia aiwasha Kigoma

Rais Samia aiwasha Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassani jana Oktoba 17,2022  amezima umeme uliokuwa unatumia jenereta na kuwasha umeme wa gridi ya Taifa na kuwataka wananchi kutunz [...]
Magazeti ya leo Oktoba 18,2022

Magazeti ya leo Oktoba 18,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Oktoba 18,2022. [...]
Ally Kamwe afiwa na mwanawe

Ally Kamwe afiwa na mwanawe

Afisa Habari wa Yanga SC, Ally Kamwe ametoa taarifa ya kufiwa na mtoto wake Latiffah wakati yeye akiwa nchini Sudan ambapo timu yake ikicheza mchezo w [...]
Ajinyonga kisa kunyimwa mshahara

Ajinyonga kisa kunyimwa mshahara

Ofisa Muuguzi (II) wa Hospitali ya Taifa Muhimbili- Mloganzila, Dar es Salaam, Sarwat Soluwo amedaiwa kujinyonga hadi kufa kwa kilichodaiwa mateso ali [...]
Rais Samia : Punguzeni kidogo spidi

Rais Samia : Punguzeni kidogo spidi

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi Runzewe Wilaya ya Bukombe mkoani Geita kupunguza kasi ya kuzaa ili huduma za kijamii na fursa za maendeleo [...]
Rais Samia: Tunakwenda kuandika historia Kigoma

Rais Samia: Tunakwenda kuandika historia Kigoma

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mkoa wa Kigoma leo unaandika historia kwa kuzimwa kwa majenereta yaliyokuwa yakizalisha umeme na sasa unaunganishwa k [...]
Magazeti ya leo Oktoba 17,2022

Magazeti ya leo Oktoba 17,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Oktoba 17,2022. [...]
Wito wa Rais Samia kwa wananchi wa Kakonko

Wito wa Rais Samia kwa wananchi wa Kakonko

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kakonko kuhakikisha wanatunza miundombinu ya afya inayojengwa na serikali ili [...]
GEITA: Vijiji 353 vina umeme, 133 mbioni kufikiwa

GEITA: Vijiji 353 vina umeme, 133 mbioni kufikiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amezindua kituo cha kupokea, kupooza umeme cha Mpomvu kilichopo Mkoa wa Geita. Aki [...]
Jeshi la Polisi laanza kuichunguza Kalynda

Jeshi la Polisi laanza kuichunguza Kalynda

Jeshi la Polisi limeanza kuchunguza tuhuma za utapeli kwa njia ya mtandao dhidi ya kampuni ya Kalynda e-Commerce. Msemaji wa Jeshi la Polisi SACP D [...]
1 118 119 120 121 122 270 1200 / 2700 POSTS
error: Content is protected !!