Author: Cynthia Chacha

1 118 119 120 121 122 256 1200 / 2559 POSTS
Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94

Lita ya petroli Nairobi Sh3469.94

Lita moja ya petroli jijini Nairobi sasa itauzwa kwa Sh3469.94 (Ksh179.30) kutoka Ksh159 katika bei mpya iliyotangazwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Nisha [...]
Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Busara yatumika kupunguza faini ya Manara

Kamati ya rufaa ya Shirikisho la Mpira wa Miguu TFF leo imetangaza kumpunguzia adhabu Msemaji wa Yanga Haji Manara kutoa milioni 20 ya faini aliyotaki [...]
Magazeti ya leo Septemba 15,2022

Magazeti ya leo Septemba 15,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Septemba 15,2022. [...]
Ajali Mbeya yaua DED wa Igunga

Ajali Mbeya yaua DED wa Igunga

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, Fatuma Latu amefariki dunia baada ya kupata ajali ya gari katika eneo la Inyala, [...]
Faida 3 za kutovaa nguo za ndani

Faida 3 za kutovaa nguo za ndani

Kama ulikua unajisikia vibaya pindi uvaapo chupi basi sasa unaweza kuwa na amani na kuacha kuzivaa kwani kuna faida endapo utaacha. Zifuatazo ni fa [...]
Ziara ya Rais Samia Marekani yajibu

Ziara ya Rais Samia Marekani yajibu

Ubalozi wa Marekani nchini umesema ujumbe wa kampuni 19 kubwa za uwekezaji nchini Marekani utafanya ziara Tanzania kuona fursa za biashara na uwekezaj [...]
Dkt. Mapango azindua stendi ya mabasi Mwanza

Dkt. Mapango azindua stendi ya mabasi Mwanza

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango jana tarehe 13 Septemba 2022 amezindua rasmi stendi ya mabasi na maege [...]
Magazeti ya leo Septemba 14,2022

Magazeti ya leo Septemba 14,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Septemba 14,2022. [...]
Mikoa 18 kukosa umeme leo Septemba 13

Mikoa 18 kukosa umeme leo Septemba 13

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetoa taarifa kuhusu kukosekana kwa umeme katika mikoa 18 nchini. [...]
Wanaojaribu kujiua wasishtakiwe

Wanaojaribu kujiua wasishtakiwe

Madaktari wanaotibu magonjwa ya afya ya akili, wameiomba serikali kupitia upya sheria inayowafunga watu wanaofanya jaribio la kujiua ili wapatiwe tiba [...]
1 118 119 120 121 122 256 1200 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!