Author: Cynthia Chacha

1 120 121 122 123 124 256 1220 / 2559 POSTS
Magazeti ya leo Septemba 12,2022

Magazeti ya leo Septemba 12,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Septemba 12,2022. [...]
Rais Samia amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 22 Mtwara

Rais Samia amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 22 Mtwara

Rais Samia Suluhu Hassan ameidhinisha malipo ya Sh milioni 816.7 ikiwa ni fidia kwa wananchi wa Mangamba Juu manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwar [...]
Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Nguo 5 za kuvutia zaidi za Malkia Elizabeth II

Malkia Elizabeth alikuwa mfalme wa mitindo na darasa kwa watu wengi. Zaidi ya miaka 70 ya utawala wake amekuwa akionekana kwenye mitindo mbalimbali ya [...]
10 Septemba siku ya kuzuia kujiua

10 Septemba siku ya kuzuia kujiua

Nchini Marekani, mwezi Septemba ni maalum kuhakikisha unazuia mtu kujiua kwani wanaamini tunaishi katika nyakati ngumu hivyo mtu anaweza kuchukua maam [...]
Kikwete ampa tano Rais Samia Suluhu

Kikwete ampa tano Rais Samia Suluhu

Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dk Jakaya Kikwete, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa uamuzi wa kuunda kikosi kazi cha ukusanyaji wa maoni, kuhusu [...]
Rungu la TCRA lawashukia Zama Mpya

Rungu la TCRA lawashukia Zama Mpya

Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imeitoza faini ya Sh milioni mbili luninga ya mtandaoni ya Zama Mpya kwa kosa la kuchapis [...]
Maambukizi ya Uviko-19 yapungua nchini

Maambukizi ya Uviko-19 yapungua nchini

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini imepungua kutokana na hatua mbalimbali zinazochukuliwa kudhibiti [...]
Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Hatua atakazo fanya Mfalme Charles III

Kufuatia kifo cha Malkia Elizabeth, Mkuu wa zamani wa Wales, Charles, amerithi kiti cha ufalme bila sherehe yoyote. Hata hivyo, kuna idadi ya hatua za [...]
Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

Watanzania milioni 5.5 ni mbumbumbu

 Wakati dunia leo akiadhimisha siku ya  Kimataifa ya Kusoma na Kuandika, Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (Unesco) limesema [...]
Maelekezo ya CCM kwa Serikali

Maelekezo ya CCM kwa Serikali

Malalamiko ya utitiri wa kodi hususani za miamala ya simu na ya kibenki, Kamati  Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa iliyokutana [...]
1 120 121 122 123 124 256 1220 / 2559 POSTS
error: Content is protected !!