Author: Cynthia Chacha
Rais amfukuza kazi waziri mkuu akihofia kupinduliwa
Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye amemfuta kazi waziri mkuu na msaidizi wake mkuu katika msako mkubwa jana baada ya kuonya kuhusu njama za mapind [...]
Vituo 10 vya Afya Dar vimejengwa kwa fedha za tozo ya miamala ya simu
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa maboresho makubwa kwenye sekta ya Afya hususani Ujenzi wa Vit [...]
Moshi mweupe mradi wa LNG
Waziri wa Nishati, January Makamba, ametembelea ofisi za Kampuni ya Shell, nchini Uholanzi, na kukutana na kuzungumza na viongozi wakuu wa kampuni hiy [...]
Tanzania kumpa ushirikiano Ruto
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema ataendelea kufanya kazi na Rais mteule wa Kenya, Dk. William Ruto, kudumisha uhusiano wa kihistoria na undugu baina [...]
Tanzania, Venezuela zasaini makubaliano ya kisiasa
Serikali ya Tanzania na Serikali ya Venezuela zimesaini Hati za Makubaliano ya kuanzisha uhusiano wa kisiasa na mkataba wa ushirikiano katika nyanja m [...]
Ufafanuzi wa laki 8 ya kuunganisha umeme
Wizara ya Nishati imesema gharama halisi ya kuunganisha huduma ya umeme katika nyumba kwa wakazi wa mijini na vijijini ni Sh800,000.
Hata hivyo, kias [...]
Auawa baada ya kubaka mbuzi
Kijana mmoja kutoka Mtunzini huko KwaZulu-Natal, Afrika Kusini ameuawa kutokana na kichapo cha wananchi wenye hasira kali baada ya kumfuma akibaka mbu [...]
Bei mpya za mafuta Septemba 2022
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa bei mpya za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa.
[...]
Orodha ya vituo vya afya 234 vilivyojengwa kwa fedha za tozo za miamala ya simu Tsh. Bilioni 117
Ofisi ya Rais TAMISEMI imetoa orodha ya vituo vya afya 234 vilivyojengwa kwa fedha za tozo za miamala ya simu Shilingi bilioni 117.
[...]
Magazeti ya leo Septemba 6,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Septemba 6,2022.
[...]