Author: Cynthia Chacha

1 128 129 130 131 132 274 1300 / 2733 POSTS
Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria

Mahakama: Uamuzi wa kuwaondoa Wamasai ulikua kisheria

Mahakama ya Afrika Mashariki imesema uamuzi iliyochukuliwa na serikali ya Tanzania wa kuzingira ardhi kwa ajili ya ulinzi wa wanyamapori na kuwaondoa [...]
Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi nchini Kenya wanamtafuta kijana wa Kitanzania anayedaiwa kumua mwenzake wakigombani bakuli la ugali. Kamanda wa Polisi Kaunti ya Narok, Kizi [...]
Mapato ya utalii yazidi kupaa

Mapato ya utalii yazidi kupaa

Mapato yanayotokana na utalii yameongezeka kutoka Dola za Kimarekani milioni 714.59 kwa mwaka 2020 hadi kufikia Dola za Kimarekani milioni 1,310.34 (z [...]
Magazeti ya leo Oktoba 1,2022

Magazeti ya leo Oktoba 1,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Oktoba 1,2022. [...]
Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri Makamba awahakikishia ushirikiano mzuri Equinor

Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba, pamoja na Balozi wa Tanzania kwenye nchi za Nordic, Mhe. Grace Olotu na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe [...]
Royal Tour Tanzania  yazinduliwa nchini Sweden

Royal Tour Tanzania yazinduliwa nchini Sweden

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake uliopo Sweden imezindua filamu ya Royal Tour jijini Stockholm kwa lengo la kuwavutia watalii kutembelea vivu [...]
Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais Samia ameagiza watoto waishio mazingira magumu kusaidiwa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe.Dkt. [...]
Magazeti ya leo Septemba 30,2022

Magazeti ya leo Septemba 30,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Septemba 30,2022. [...]
Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG

Mikataba ya Serikali kusainiwa Ofisi ya AG

Rais Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku Taasisi za serikali kuingia mikataba bila kushirikisha Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Rais Samia [...]
Tanzania na Falme za Kiarabu zasaini mkataba kuondoa utozaji kodi mara mbili

Tanzania na Falme za Kiarabu zasaini mkataba kuondoa utozaji kodi mara mbili

Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimesaini makubaliano ya kuondoa utozaji kodi mara mbili, wadau wametoa maoni tofauti kuhusu faida na hasa [...]
1 128 129 130 131 132 274 1300 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!