Author: Cynthia Chacha

1 133 134 135 136 137 265 1350 / 2650 POSTS
Magazeti ya leo Agosti 31,2022

Magazeti ya leo Agosti 31,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Agosti 31,2022. [...]
Hii hairuhusiwi

Hii hairuhusiwi

Taarifa kwa Umma kutoka Wizara ya Maliasili JAMBO HILI HALIRUHUSIWI NDANI YA HIFADHI ZETU! Jambo hili tunaweza kulifurahia lakini ni hatari na H [...]
94.3% wakazi wa DAR wamehesabiwa

94.3% wakazi wa DAR wamehesabiwa

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amesema Mkoa huo umefanya vizuri kwenye zoezi la Sensa ya watu na Makazi ambapo mpaka asubuhi ya leo Agost [...]
Chama cha Wagumba cha paza sauti

Chama cha Wagumba cha paza sauti

Chama cha Wagumba Tanzania (CCWTZ) kimeahidi kusimamia haki za wagumba nchini ili waweze kuondokana na vitendo vya ukatili wanavyokumbana navyo ndani [...]
Mahakama yatupilia mbali ombi la Ruto

Mahakama yatupilia mbali ombi la Ruto

Mahakama ya Juu nchini Kenya imetupilia mbali ombi la Rais Mteule William Ruto la kupinga matumizi ya hati ya kiapo iliyowasilishwa na John Githongo, [...]
TAHADHARI: Mlipuko wa Kipindupindu

TAHADHARI: Mlipuko wa Kipindupindu

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu ametahadharisha kuwapo mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu katika baadhi ya mikoa na kuwataka Watanzania kuzingatia usafi [...]
NMB yazindua ATM ya kubadili fedha Uwanja wa KIA

NMB yazindua ATM ya kubadili fedha Uwanja wa KIA

Benki ya NMB jana imezindua mashine ya kutolea fedha (ATM) ya kwanza katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa Kilimanjaro (KIA) yenye uwezo wa kubadili [...]
Mwendeshaji mpya wa DART apatikana

Mwendeshaji mpya wa DART apatikana

Serikali inatarajia kusaini mkataba na mwendeshaji mpya wa Mradi wa Mabasi Yaendayo kwa Haraka jijini Dar es Salaam (DART) kutoka Umoja wa Nchi za Kia [...]
Namba za kupiga kuhesabiwa sensa

Namba za kupiga kuhesabiwa sensa

Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi 2022,Mheshimiwa Anne Makinda amesema asilimia 93.45 ya kaya zote Tanzania zilikuwa zimehesabiwa hadi kufikia asubuh [...]
Magazeti ya leo Agosti 30,2022

Magazeti ya leo Agosti 30,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Agosti 30,2022. [...]
1 133 134 135 136 137 265 1350 / 2650 POSTS
error: Content is protected !!