Author: Cynthia Chacha

1 133 134 135 136 137 245 1350 / 2443 POSTS
Uganda wavutiwa na Tanzania

Uganda wavutiwa na Tanzania

Wabunge wa Uganda waliokuja kutembelea miundombinu ya nishati nchini wakiongozwa na Waziri wa Nchi, Maendeleo ya Nishati na Mdibi, Dkt. Peter Lokeris [...]
Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi

Msigwa: Serikali itatoa ufafanuzi

Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali itatoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara iliyotoka katika mishahara ya mwezi Julai, 2022 [...]
Tanesco yasitisha mfumo wa Nikonekt

Tanesco yasitisha mfumo wa Nikonekt

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema linafanya maboresho ya mfumo wa Nikonekt kwa siku mbili leo na kesho. Taarifa ya ofisi ya uhusiano Tan [...]
Magazeti ya leo Julai 23,2022

Magazeti ya leo Julai 23,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Julai 23,2022. [...]
TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

TICTS yatajwa kuwa chanzo cha matatizo kwa wafanyabiashara bandari ya Dar

Kushindwa kujiendesha kwa ufanisi kwa Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS) kumesababisha msongamano wa makasha hayo bandari ya Dar es Sal [...]
Rais Samia akemea uharibifu wa miundombinu

Rais Samia akemea uharibifu wa miundombinu

Rais Samia Suluhu Hassan amekemea tabia ya baadhi ya wananchi wanaoharibu miundombinu ya barabara ikiwemo kuchimba mchanga kwa sababu vitendo hivyo vi [...]
Usichaji simu hadi asilimia 100

Usichaji simu hadi asilimia 100

Huenda watumiaji wa simu za mkononi za iPhone zinazotengenezwa na kampuni ya Apple wakaepuka gharama za kununua au kutengeneza betri za simu yao mara [...]
Ujumbe wa Rayvanny kwa Rais Samia Suluhu

Ujumbe wa Rayvanny kwa Rais Samia Suluhu

Msanii na mmiliki wa lebo ya muziki ya Next Level, Rayvanny, kupitia kwenye ukurasa wake wa mtandao wa instagram ameweka ujembe kuhusu Rais Samia Sulu [...]
Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa

Fahamu mambo anayotakiwa kujua karani wa sensa

Karani wa sensa atatakiwa kuuliza idadi ya watu wote waliolala katika kaya husika usiku wa kuamkia siku ya sensa. Atauliza majina ya watu wote waliola [...]
Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia aeleza mbinu za kujitosheleza kwa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan ameeleza hatua muhimu zinazopaswa kuchukuliwa na mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kuweza kujitosheleza kwa chakul [...]
1 133 134 135 136 137 245 1350 / 2443 POSTS
error: Content is protected !!