Author: Cynthia Chacha

1 173 174 175 176 177 263 1750 / 2625 POSTS
Fahamu aina 5 za miguno

Fahamu aina 5 za miguno

Miguno wakati wa tendo la ndoa inaweza kuwa ya uwongo, ambayo si jambo zuri, lakini inapokuwa ya kweli, huakisi hisia ambazo mwanamke anapitia pamoja [...]
Magari yanayoweza kujiendesha

Magari yanayoweza kujiendesha

Magari sasa yameainishwa kwa kutumia viwango vitano kulingana na teknolojia ya kujiendesha yenyewe. Kiwango cha 0 ni aina ya gari ambalo wengi wetu tu [...]
Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba

Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba

Maandalizi ya Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Sabasaba yamekamilika kwa asilimia 95, na nchi 20 ikiwemo Marekani zimethibiti [...]
Simba kumuaga Wawa

Simba kumuaga Wawa

Klabu ya Simba imeamua kuacha na beki wake wa kati raia wa Ivory Coast Pascal Wawa baada ya mkataba wake kumalizika kwenye klabu hiyo yenye makazi yak [...]
Nabi amtamani Msuva

Nabi amtamani Msuva

Simon Msuva yupo nchini tangu mwaka jana baada ya kuzinguana na timu yake ya Wydad Casablanca ya Morocco na kupelekana Fifa, ila juzi alifunga mabao m [...]
Ofisa Mtendaji, Mgambo wadaiwa kuua mwanafunzi kisa viatu

Ofisa Mtendaji, Mgambo wadaiwa kuua mwanafunzi kisa viatu

Ofisa Mtendaji katika kata moja wilayani Siha mkoani Kilimanjaro na mgambo, wanadaiwa kuwatembezea kipigo wanafunzi wanne na kusababisha kifo cha mmoj [...]
Magazeti ya leo Juni 21,2022

Magazeti ya leo Juni 21,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 21,2022. [...]
Mwanachuo anusurika kipigo akidaiwa kumtupa kichanga baada ya kujifungua

Mwanachuo anusurika kipigo akidaiwa kumtupa kichanga baada ya kujifungua

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (Saut) Mwanza aliyetambulika kwa jina moja la Judith amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi  akidaiwa [...]
Oman kujenga Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro

Oman kujenga Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro

Hatimaye ziara ya siku tatu nchini Oman iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeanza kuzaa matunda baada ya Viwanja vya ndege Muscat kutia saini ya [...]
Nyani waua mtoto mchanga

Nyani waua mtoto mchanga

Kundi la nyani wa hifadhi ya Gombe iliyopo kijiji cha Mwamgongo wilayani Kigoma, limevamia nyumba ya Shayima Faya (20) na kumpokonya mtoto mchanga wak [...]
1 173 174 175 176 177 263 1750 / 2625 POSTS
error: Content is protected !!