Author: Cynthia Chacha
Fahamu aina 5 za miguno
Miguno wakati wa tendo la ndoa inaweza kuwa ya uwongo, ambayo si jambo zuri, lakini inapokuwa ya kweli, huakisi hisia ambazo mwanamke anapitia pamoja [...]
Magari yanayoweza kujiendesha
Magari sasa yameainishwa kwa kutumia viwango vitano kulingana na teknolojia ya kujiendesha yenyewe. Kiwango cha 0 ni aina ya gari ambalo wengi wetu tu [...]
Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba
Maandalizi ya Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Sabasaba yamekamilika kwa asilimia 95, na nchi 20 ikiwemo Marekani zimethibiti [...]
Simba kumuaga Wawa
Klabu ya Simba imeamua kuacha na beki wake wa kati raia wa Ivory Coast Pascal Wawa baada ya mkataba wake kumalizika kwenye klabu hiyo yenye makazi yak [...]
Nabi amtamani Msuva
Simon Msuva yupo nchini tangu mwaka jana baada ya kuzinguana na timu yake ya Wydad Casablanca ya Morocco na kupelekana Fifa, ila juzi alifunga mabao m [...]
Ofisa Mtendaji, Mgambo wadaiwa kuua mwanafunzi kisa viatu
Ofisa Mtendaji katika kata moja wilayani Siha mkoani Kilimanjaro na mgambo, wanadaiwa kuwatembezea kipigo wanafunzi wanne na kusababisha kifo cha mmoj [...]
Magazeti ya leo Juni 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 21,2022.
[...]
Mwanachuo anusurika kipigo akidaiwa kumtupa kichanga baada ya kujifungua
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino (Saut) Mwanza aliyetambulika kwa jina moja la Judith amenusurika kipigo kutoka kwa wananchi akidaiwa [...]
Oman kujenga Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro
Hatimaye ziara ya siku tatu nchini Oman iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan imeanza kuzaa matunda baada ya Viwanja vya ndege Muscat kutia saini ya [...]
Nyani waua mtoto mchanga
Kundi la nyani wa hifadhi ya Gombe iliyopo kijiji cha Mwamgongo wilayani Kigoma, limevamia nyumba ya Shayima Faya (20) na kumpokonya mtoto mchanga wak [...]

