Author: Cynthia Chacha

1 182 183 184 185 186 263 1840 / 2624 POSTS
Magazeti ya leo Juni 5,2022

Magazeti ya leo Juni 5,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumapili Juni 5,2022. [...]
Ruksa kusafirisha wanyamapori hai nje

Ruksa kusafirisha wanyamapori hai nje

Wizara ya Maliasili na Utalii Tanzania imetangaza kuruhusu usafirishaji wa Wanyamapori hai nje ya nchi kwa Wafanyabiashara waliokuwa na Wanyamapori wa [...]
Aina 5 ya vyakula vinavyosaidia kupata mapacha

Aina 5 ya vyakula vinavyosaidia kupata mapacha

Watu wengi wanapendelea kupata watoto mapacha, lakini baadhi ya mambo kama umri, historia ya familia na maradhi yanaweza kusababisha ukashindwa kufani [...]
Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa

Namna Ma-DC na DED walivyotapeliwa

Jeshi la Polisi mkoa wa Dar es Salaam linamshikilia mfanyabiashara Emmanuel John (38) kwa tuhuma za kutapeli viongozi wa Serikali, wakiwemo Wakuu wa W [...]
TCRA yaanza vita dhidi ya warusha maudhui ya ushoga

TCRA yaanza vita dhidi ya warusha maudhui ya ushoga

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema inaanza kufanya uchunguzi wa vituo vyote vya luninga na mitandao ya kijamii inayorusha maudhui ya katun [...]
Magazeti ya leo Juni 4,2022

Magazeti ya leo Juni 4,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Juni 4,2022. [...]
Serikali kutumia tiktok

Serikali kutumia tiktok

Mbunge wa Viti Maalum, Martha Gwau ameishauri Wizara ya Maliasili na Utalii kutumia mitandao ya kijamii kutangaza vivutio mbalimbali vya utalii huku a [...]
Nafasi za kazi Ubalozi wa Tanzania nchini India

Nafasi za kazi Ubalozi wa Tanzania nchini India

Ubalozi wa Tanzania nchini India unatangaza nafasi za kazi kwa madereva. [...]
Aomba talaka baada ya kunyimwa unyumba

Aomba talaka baada ya kunyimwa unyumba

Mwalimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Halis Mbwagolo (44) ambaye ni mkazi wa Dodoma, amemfikisha mahakamani mumewe  Denis Nyoni (49) akidai talaka b [...]
Tahadhari: Wimbi la 5 Virusi vya Corona

Tahadhari: Wimbi la 5 Virusi vya Corona

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amewataka Watanzania wajikinge na ugonjwa wa Covid-19 kwa kuwa kuna dalili za kuingia kwa wimbi la tano la virusi vya cor [...]
1 182 183 184 185 186 263 1840 / 2624 POSTS
error: Content is protected !!