Author: Cynthia Chacha

1 202 203 204 205 206 246 2040 / 2456 POSTS
Wezi wakutwa wakiiba Daraja la Tanzanite

Wezi wakutwa wakiiba Daraja la Tanzanite

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu wawili wakidaiwa kujaribu, kukata baadhi ya vyuma vya ngazi ya nguzo kwenye daraja l [...]
Maofisa ugani kuvaa gwanda

Maofisa ugani kuvaa gwanda

Wakili wa Kilimo Hussein Bashe amesema maofisa ugani wote nchini wataanza kuvaa unifomu na serikali itakuwa ikitoa mavazi mawili kila mwaka. Amesem [...]
TID: ndomaana staki

TID: ndomaana staki

Msanii wa Bongo Fleva nchini, Khalid Mohamed maarufu kama TID ameonyesha kuchukizwa na kitendo cha waandaji wa Tuzo za Muziki Tanzania kumualika kweny [...]
Wizkid hali mbaya

Wizkid hali mbaya

Msanii kutoka nchini Nigeria, Wizkid amekosa tuzo katika vipengele viwili vya Best Global Music Performance na Best Global Music Album jambo lililoibu [...]
Kodi zaipaisha TRA

Kodi zaipaisha TRA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema mwezi uliopita imekusanya Sh trilioni 2.06 katika lengo la kukusanya Sh trilioni 1.98 taarifa iliyotolewa na [...]
Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji

Masoud Kipanya aja na gari la kuchaji

Mtangazaji na mchora katuni maarufu nchini Tanzania, Masoud Kipanya kupitia kampuni yake ya Kaypee Motors amezindua gari ndogo ya mizigo inayotumia um [...]
Wanaume: fahamu M3 hizi

Wanaume: fahamu M3 hizi

Kwa mwanaume yoyote yule ambaye yupo kwenye mahusiano au ana mpango wakuanzisha mahusiano basi ni lazima akawa anazifahamu vyema M3 ambazo zitamsaidia [...]
Athari 3 za matango

Athari 3 za matango

Matango ni moja wapo ya matunda yanayopendwa sana na hutumika kama kinga ya mwili na kwenye urembo wasichana hupaka usoni ili kuwa na ngozi nyororo na [...]
Wakutwa na madawa ya kulevya gramu 70.77

Wakutwa na madawa ya kulevya gramu 70.77

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limefanikiwa kumkamata maeneo ya Osunyai, Abdi Hamis (27) mfanyabiashara, mkazi wa Ngarenaro na Ally Said (25) dereva na [...]
Harmonize: Rayvanny mwanangu

Harmonize: Rayvanny mwanangu

Msanii na mmiliki wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize anazidi kuionyesha jamii na ulimwengu mzima kwamba bado anampenda aliyewa [...]
1 202 203 204 205 206 246 2040 / 2456 POSTS
error: Content is protected !!