Author: Cynthia Chacha
Magazeti ya leo Aprili 12,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Aprili 12,2022.
[...]
Diamond na Joti mabalozi Airtel
Baada ya watu kusubiri kwa muda mrefu kumfahamu mpendwa mpya ambaye amekuwa akimtaja, hatimaye usiku wa leo Aprili 11,2022 akiwa kwenye ukumbi wa Hyat [...]
MAKONDA: Mashoga wanataka kuniua
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amefunguka rasmi kuhusu usalama wake baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu.
Kupitia ukuras [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Aprili 11,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri katika mtandao wa Youtube Tanzania leo Aprili 11, 2022. Husikubali kupitwa.
https://www.youtube.com/watch?v=IokC [...]
Polisi adakwa akivuta bangi
Inspekta Jenerali wa Polisi jijini Lagos, Usman Baba Alkali ameagiza uchunguzi wa kina ufanyike kwa lengo la kufichua utambulisho wa afisa wa polisi a [...]
Majina ya walioitwa kazini TAKUKURU
Overview
Majina ya Kuitwa Kazini PCCB-TAKUKURU (Call For Work PCCB). Tanzania’s first anti-corruption agency dates back to 1974 when Act No. In July [...]
iPhone 13 kuanza kutengenezwa India
Kampuni ya Apple imesema kwamba sasa simu zao aina ya iPhone 13 zitaanza kuzalishwa nchini India.
Apple imekuwa ikihamisha baadhi ya maeneo ya ute [...]
Mkwere apewa mtaa
Wakati zoezi la kuweka vibao vya majina ya mitaa nchini likiendelea, mchekeshaji kutoka kundi la Mizengwe, Hemedi Khalidi Maliaga maarufu kama Mkwere [...]
GAIRO: Madarasa 12 ya Samia yavunjwa vioo
Mkuu wa Wilaya ya Gairo, Jabir Makame amemsimamisha kazi Mkuu wa Shule ya Sekondari Kibedya, wilayani humu, Kelvin Kayombo ili kupisha uchunguzi baada [...]
WAKE: Tuna haki ya kwenda Dubai kama michepuko
Kikundi cha wanawake jijini Kampala wamefanya maandamano asubuhi hii ya leo tarehe 11 mwezi Aprili wakishinikiza wanaume zao kuwaongezea kiwango cha p [...]

