Author: Cynthia Chacha

1 236 237 238 239 240 274 2380 / 2733 POSTS
TMDA: Marufuku sigara hadharani

TMDA: Marufuku sigara hadharani

Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba Tanzania (TMDA) Kanda ya Kati, Sonia Mkumbwa ameeleza kuwa watumiaji wa bidhaa za Tumbaku watatakiwa kut [...]
Mama Janeth Magufuli atoa misaada

Mama Janeth Magufuli atoa misaada

Mama Janeth Magufuli, Mjane wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt John Pombe Magufuli, amesema ataendeleza utamaduni waliyojiwekea yeye na marehemu m [...]
Mbowe: Niliyoteta na Rais

Mbowe: Niliyoteta na Rais

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe amewaeleza na kuweka wazi waandishi wa habari mambo makuu matatu aliyozungumz [...]
MGM yaungana na Amazon studios

MGM yaungana na Amazon studios

Amazon imefunga rasmi jana Mach 17,2022 mkataba wake wakuinunua kampuni ya MGM kwa kiasi cha fedha dola bilioni 8.5  na kusema kwamba hakuna mfanyakaz [...]
Romy Jons aomba msamaha

Romy Jons aomba msamaha

Dj na kaka wa msanii Diamond Platnumz, Romy Jons amewaomba radhi mashabiki zake, marafiki , mashabiki , mke wake na Watanzania kwa ujumla kwa yale yan [...]
Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato

Ahadi ya Samia kwa Wananchi wa Chato

Rais Samia Suluhu Hassan amewaahidi wananchi wa Chato mkoani Geita kwamba miradi iliyopangwa itakamilishwa ikiwemo kivyuko cha Chato cha ‘Hapa Kazi Tu [...]
Brazen: Maneno yenye uhalisia

Brazen: Maneno yenye uhalisia

Filamu ya “Brazen” inamuhusu mwanamama Grace Miller ambaye ni nyota maarufu wa vitabu vya simulizi nchini Marekani. Simulizi zake zilizobeba visa vya [...]
Historia imeandikwa Kituo cha Afya Masasi

Historia imeandikwa Kituo cha Afya Masasi

Kwa muda mrefu wananchi wa wilaya ya Masasi kata ya Chikundi wamekuwa wakiishi na changamoto kubwa ya upatikanaji wa huduma za afya katika maeneo ya k [...]
Mwaka Mmoja bila Magufuli

Mwaka Mmoja bila Magufuli

Leo Watanzannia wanaadhimisha mwaka mmoja tangu kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tano, Dk John Joseph Pombe Magufuli aliyefariki Machi 17, 2021, hu [...]
Ajinyonga na waya

Ajinyonga na waya

Abdul Kasuku (16) mwanafunzi wa kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mpigimahoge amedaiwa kujinyonga kwa waya jana asubuhi katika shamba la mihog [...]
1 236 237 238 239 240 274 2380 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!