Author: Cynthia Chacha

1 57 58 59 60 61 244 590 / 2434 POSTS
Rais Samia ahimiza utekelezaji wa miradi ya umeme

Rais Samia ahimiza utekelezaji wa miradi ya umeme

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezitaka taasisi za Serikali au binafsi pamoja na mashirika kuacha urasimu katika utekelezaji wa miradi ya umeme [...]
Benki ya Dunia yaipongeza Tanzania kuwa kinara kwenye uchumi

Benki ya Dunia yaipongeza Tanzania kuwa kinara kwenye uchumi

Huenda unafuu wa maisha pamoja na upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii ukaimarika nchini mara baada ya Benki ya Dunia kuripoti kuwa uchumi wa T [...]
Rais Samia kununua magoli ya Simba SC na Yanga SC

Rais Samia kununua magoli ya Simba SC na Yanga SC

Rais Samia Suluhu Hassan ameahidi kutoa Sh milioni 5 kwa kila goli litakalofungwa na wachezaji wa timu za Simba na Yanga wakati wa michuano inayoendel [...]
Magazeti ya leo Februari 14,2023

Magazeti ya leo Februari 14,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Februari 14,2023. [...]
Sheria utoaji wa viungo vya ndani ya mwili mbioni kutungwa

Sheria utoaji wa viungo vya ndani ya mwili mbioni kutungwa

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema serikali iko mbioni kuja na sheria itakayoruhusu wananchi kuchangia viungo vya ndani ya mwili ikiwemo figo. Wa [...]
Mpangaji amuua mwenye nyumba kisa kodi

Mpangaji amuua mwenye nyumba kisa kodi

Mkulima wa Kijiji na Kata ya Likongowele, Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, Siamini Mtopoka (40), anadaiwa kuuawa na mpangaji wake Shabani Matola kwa kuk [...]
Fahamu kuhusu meli ya Mv. Mwanza

Fahamu kuhusu meli ya Mv. Mwanza

Hatimaye Serikali imefanikiwa kuishusha majini meli mpya itakayokuwa ni kubwa kuliko zote ndani ya Victoria ya Mv.Mwanza “Hapa kazi tu” baada ya ujenz [...]
Magazeti ya leo Februari 13,2023

Magazeti ya leo Februari 13,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Februari 13,2023. [...]
Rais Samia awataka walionufaika na mikopo ya elimu kurudisha

Rais Samia awataka walionufaika na mikopo ya elimu kurudisha

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanafunzi walionufaika na mikopo ya elimu ya juu kukumbuka kurudisha fedha hizo ili ziweke k [...]
14 wakamatwa kwa tuhuma za kupora katika ajali Tanga

14 wakamatwa kwa tuhuma za kupora katika ajali Tanga

Jeshi la Polisi, Mkoa wa Tanga limewakamata watu 14 ambao wanatuhumiwa kufanya uporaji katika ajali iliyohusisha vifo vya watu 20 na majeruhi 12 iliyo [...]
1 57 58 59 60 61 244 590 / 2434 POSTS
error: Content is protected !!