Author: Cynthia Chacha
Mita 111 za maji zajazwa Bwawa la Nyerere
Serikali imesema hadi jana asubuhi, mita za maji 111 juu ya usawa wa bahari zilikuwa zimejazwa katika mradi wa kuzalisha megawati 2,115 za umeme kwa m [...]
Fahamu kuhusu asali
Wengi wetu tumezoea asali kwa matumizi ya kula lakini kama ulikua hujui pia ni tiba ya ngozi pamoja na kuzui chunusi.
Kutokana na uwezo wa asali ku [...]
Magazeti ya leo Januari 16,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Januari 16,2023.
[...]
Dar Group Hospital chini ya usimamizi wa Serikali
Serikali imechukua usimamizi wa Hospitali ya Dar Group na Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ametangaza kuwa Hospitali hiyo sasa itasimamiwa na Taasisi ya Mo [...]
Sekretarieti mpya ya CCM
Katibu Mkuu- Daniel Chongolo
Naibu Katibu Mkuu - Bara, AnaMringi Macha
Naibu Katibu Mkuu- Zanzibar- Mohamed Said Dimwa
Katibu Itikadi na Uene [...]
Maana ya video ya Simba ya Fei Toto
Mchezaji wa Yanga SC , Feisal Salum maarufu kama "Fei Toto" ameweka video ya mnyama simba yenye maneno ya lugha ya kifaransa jambo lililoibua hisia to [...]
Fei toto na Simba Instagram
View this post on Instagram
A post shared by Feisal Salum Abdal [...]
Waliotimiza miaka 18 kupatiwa chanjo ya Uviko-19
Serikali imesema itaanza kuwafikia vijana ambao hawakuwa wamefikisha umri wa kupata chanjo ya Uviko-19 tangu zoezi hilo lianze miaka mitatu iliyopita [...]
Watu 48 waokolewa mafuriko Morogoro
Watu 48 wameokolewa katika mafuriko na kuhifadhiwa ofisi ya Kata ya Kihonda, Manispaa ya Morogoro kupatiwa msaada wa dharura na serikali, kufuatia mvu [...]
Magazeti ya leo Januari 14,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Januari 14,2023.
[...]